Tanzania confirms TAZARA split, Zambia not aware

Tanzania confirms TAZARA split, Zambia not aware

Personally I don't buy the idea of splitting out. Sitaki kuamini kuwa tuna uwezo wa kuendesha TZR kama nchi take a look on what is going on with Central Railway. Tuache kupeleka mambo kisiasa. Ingawaje hatuoni sababu ya kuikumbatia Zambia katika uendeshaji wa TZR, i personally don't see any way Tz can run TZR separately and successful. Nadhani ilitakiwa Tz ikae na Zambia na waone namna ya kuireform TZR, splitting not the best way to go to my thinking.

.....unaelewa kuhusu..."someone taking you for a ride"?......hivi unataka kuamini kuwa Wazambia ndio wanajua management ya reli kutuzidi na kwa hiyo bila wao sisi hatuwezi!!!......kwa nini mnaleta hizi hadithi za kutojiamini.....kutojiamini kwetu ndio kumetufanya tulete ukoloni mambo leo hivi sasa....mpaka tunaona Wazalendo wa nchi hii hawawezi....trust me wapo watu pale nchini wenye uwezo mkubwa sana....ni suala la ku-scout vizuri tu......

....hebu tuondokane na hii dhana inayodhalilisha uwezo wetu......
 
Hii nchi imetawaliwa na uendawazimu, as days pass by, Tanzania creates more enemies than friends. Nowonder ni deals za wap.uuzi mafisadi wa serikalini ili kutengeneza biashara ya malori yao.

Haki ya mama hii nchi imelaaniwa kama watz waliowengi walivyolaaniwa!!!!
 
Mnataka kuwashika uchawi wazambia kuwa ndio wanaua TAZARA? Reli ya kati je nani kaiua...mzambia pia??
 
Kama huelewi vitu bora kukaa kimya kuliko kujiaibisha hapa. Pale Kapiri Mposhi kuna mtandao wa reli wa kisasa kwenda Ndola kwenye copper belt na nyingine inaenda Lusaka. Mizigo yote ya Zambia inafika vizuri kwa TAZARA kuliko njia zingine. Sasa hivi foleni ya malori pale boda Tunduma imefika hadi Mpemba, kilomita 15, gari zinakaa hadi siku mbili kusubiri kuvuka boda wakati kwa train ni dakika kumi tu train inatoka Tunduma na kuingia Nakonde then Isoka. Reli toka ipewe mtaji na wachina wakati inaanzishwa haikuwahi kuongezewa mtaji zaidi ya msaada wa vichwa toka ujerumani. Faida inayopatikana watu wanaifanyia ufisadi, wameuza hadi nyumba za TAZARA then mnasema TAZARA itaendelea kwa kugawanyika? No way, hii nchi ina laana kubwa sana ya kubaki maskini
---- wewe hata huelewi concept, utalalama kuhusu nchi jirani mpaka keshokutwa..wao ndo hawataki kuwekeza TZR unataka serikali ya TZ ifanyeje..utalazimisha kupakia mizigo ambayo ipo port of Beira!!!!!!
 
Usichanganye mambo!!! kama huelewi kitu ni bora kukifuatilia au kuomba mwenye taarifa rasmi ya huo mpango mzima amwage data hapa ili tujue, pengine ni kwa manufaa ya TZ.Tazara kama ilivyo kwa sasa haina faida yeyote na wawekezaji hawawezi kuingia kitu ambacho kimeganda kama barafu...yaani Dar to Kapirimposhi only..Tanzania inaweza kunufaika kama TZR itakuwa diversified. Pengine wenzetu bado hawako tayari kwa mfano kuweka express train from Dar to Mbeya ambayo itaongeza uzalishaji kwenye mikoa ya kusini..sasa kama Zambia hawataki kuwekeza zaidi tufanyeje..???
Mi naunga mkono hoja and is the step towards the right direction..Nyie watu wa kaskazini kazi yenu kupinga kila kitu..mpaka mkataba afanye Mtei na Mbowe ndo mnaona wa akili...

Nilitaka kusema jambo lakini kwa hoja hii siongezi neno...najua misukule ya ufipa lazima ikutukane mkuu...
 
Reli ya kuvurugaTAZARA ilijengwa maalum kwa ajili ya kusafirisha mizigo ya Zambia na Malawi. Mbeya sio tu hakuna abiria wa kujaza train kwa vile watu wanapendelea mabasi na saizi middle class wanapanda ndege, hakuna mizigo ya kutosha kwenda Mbeya toka Dar ya kuwezesha kuendesha reli profitably. Kiwanda pekee kinachouza nje ya Mbeya ni Mbeya Cement, TBL wanazalisha bia za kutumika hukohuko tu. Kwa mantiki hiyo kuitenganisha TAZARA na Zambia na Malawi ni sawa na kuipeleka kibra.

Ndio shida ya kuokoteza wanasiasa kuongoza sekta muhimu za kiuchumi. Anyway labda wanaendeleza kampeni yao ya kuhakikisha malori ya akina Riziwani yanakuwa na mizigo ya kutosha kupeleka Zambia na

Kichefuchefu
 
Rwanda wana wivu nasi, Uganda wana wivu nasi, Kenya wana wivu nasi, kuna Malawi, Zambia Nao wana wivu nasi?...poor Tanzania utagombana na majirani zako wote.
Kuna giant kamfunga Tanzania Kamba ya shingoni anampeleka kusikojulikana...ameanza kwa Ku neutralise mahusiano na majirani zake ili Tanzania abaki Kama kisiwa.
Hawa viongozi wa tanzania ni wavivu tu,hawataki kujishughulisha kuweka mikakati ya kupambana na effect za muungano bila kuuvunja muungano.
 
Reli ya kuvurugaTAZARA ilijengwa maalum kwa ajili ya kusafirisha mizigo ya Zambia na Malawi. Mbeya sio tu hakuna abiria wa kujaza train kwa vile watu wanapendelea mabasi na saizi middle class wanapanda ndege, hakuna mizigo ya kutosha kwenda Mbeya toka Dar ya kuwezesha kuendesha reli profitably. Kiwanda pekee kinachouza nje ya Mbeya ni Mbeya Cement, TBL wanazalisha bia za kutumika hukohuko tu. Kwa mantiki hiyo kuitenganisha TAZARA na Zambia na Malawi ni sawa na kuipeleka kibra.

Ndio shida ya kuokoteza wanasiasa kuongoza sekta muhimu za kiuchumi. Anyway labda wanaendeleza kampeni yao ya kuhakikisha malori ya akina Riziwani yanakuwa na mizigo ya kutosha kupeleka Zambia na

Labda nikusaidie tu kwa uelewa wako mdogo. Mbeya ndio leading producer wa Food and Cash crops, urasimu ukipungua mazao mengi yatasafirishwa kwa reli hivyo gharama za usafirishaji kushuka . Sio kwa mbeya tu, bali mikoa yote ya Nyanda za juu kusini itasafirisha mazao yao kwa hii reli. Kwa kusafirisha tu mazao hayo hii reli haitapata hasara. Lakini kingine ni kwamba hii reli ni standard gauge hivyo inahitaji vichwa vipya vya express, vikipatikana vichwa vipya train ikawa express watu tutapanda tofauti na sasa ratiba zimekaa hovyo watu kutoka mby wanakuwa hawana uhakika na safari hivyo kutotumia sana usafiri huo. Kukiwa na train ya kuanzia Mby hilo halitakuwepo. Wafanyabiashara wengi wanasafirisha mizigo yao kwa barabara kwenda Mby na mikoa ya jirani, hii mizigo ingeweza kusafirishwa kwa reli.
 
Rwanda wana wivu nasi, Uganda wana wivu nasi, Kenya wana wivu nasi, kuna Malawi, Zambia Nao wana wivu nasi?...poor Tanzania utagombana na majirani zako wote.
Kuna giant kamfunga Tanzania Kamba ya shingoni anampeleka kusikojulikana...ameanza kwa Ku neutralise mahusiano na majirani zake ili Tanzania abaki Kama kisiwa.
Kwani kugawana kila mtu aendeshe kipande chake ni ugomvi? Mbona kenya na uganda kila mmoja anaendesha reli yake na bado mizigo ya uganda inafika mombasa! Yapo mambo wata cordinate operation hasa kuhusu safari za kuvuka mpaka. Mbona mwakyembe ameweka bayana nini tanzania inataka?
 
Kuna wajinga wanafikiri kwamba tugiwana basi train hazivuki tena upande wa 2

Cc: kmbwembwe
 
Mkuu Ogah kwanza nianze kuunga mkono bandiko lako hakika wengi wetu humu hatujui kwanini Tanzania inachukua msimamo wa kila nchi kuendesha TAZARA kivyake.

Kwa muda mrefu sana kumekuwa na urasimu usio na faida hasa toka upande wa Zambia linapokuja suala la uendeshaji wa TAZARA.Sheria na taratibu za uendeshaji TAZARA ni lazima mtendaji mkuu atoke Zambia na msaidizi ndio atoke Tanzania hii imesababisha TAZARA kuendeshwa kwa matakwa ya Zambia.Mfano Tanzania ilitaka kutumia miundombinu ya TAZARA kwaajili ya usafiri wa Dar Zambia wakagoma,Tanzania ilitaka kuongeza safari za treni za ndani kuanzia Dar hadi Mbeya baada ya route hiyo kubainika itaongeza faida maradufu Zambia ikakataa.Masuala ya fedha lazima yapate baraka toka Zambia matokeo yake unakuta fedha nyingi za TAZARA zimerundikana katika account za TAZARA Zambia na kusababisha uzorotaji wa utoaji wa huduma pasipo sababu za msingi.

Muundo wa sasa wa TAZARA umepitwa na wakati kwakuwa ulijikita zaidi katika masuala ya siasa badala ya biashara.Naungana na Dr Mwakyembe katika kuligawa shirika hili ili kuongeza ufanisi zaidi.

MASIKINI!!!! Wewe ni mfano wa Daktari aliyempokea mgonjwa na kumfanyia uchunguzi na kugundua magonjwa yanayomkabili bahati mbaya ukashindwa kujua dawa stahiki za kumponya mgonjwa. Badala ya kushirikisha Madaktari bora zaidi yako kutambua ni dawa gani za kumwokoa mgonjwa unaamua AUWAWE!!!!!! What a BIG SHAME!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Kuna wajinga wanafikiri kwamba tugiwana basi train hazivuki tena upande wa 2

Cc: kmbwembwe

Ndivyo walivyokuambia hao 'wajinga?' au unajaribu kuwasaidia kufikiri kwa kadiri ya ujinga wako!? Soma vizuri na uelewe. Achana na habari za kudhani dhani, mbona wengine wamefafanua na wameeleweka kirahisi kabisa.
 
Personally I don't buy the idea of splitting out. Sitaki kuamini kuwa tuna uwezo wa kuendesha TZR kama nchi take a look on what is going on with Central Railway. Tuache kupeleka mambo kisiasa. Ingawaje hatuoni sababu ya kuikumbatia Zambia katika uendeshaji wa TZR, i personally don't see any way Tz can run TZR separately and successful. Nadhani ilitakiwa Tz ikae na Zambia na waone namna ya kuireform TZR, splitting not the best way to go to my thinking.
Si ni sisi ambao ni mabingwa wa kutetea miungano hata isiyo na tija kwetu poor Tanganyika!
 
..nimefanya ka-research kadogo nikakuta kwamba Zambia wana miradi ya reli kwenda Angola[benguela railway], na mradi mwingine wa reli kwenda Mozambique[nacala port].

..pia nimegundua kwamba wa-Zambia hawana haraka ya kufufua Tazara kwasababu wanaona reli hiyo ni ndefu na haina ufanisi.

..jambo lingine ni kwamba jirani yao upande wa magharibi, yaani ANGOLA, ana mafuta na mapesa mengi mno. sasa it makes more sense kwao kujenga miundo mbinu kama reli kuelekea Angola ambako kuna visima vya mafuta.

..Angola pia wana mradi wa kurefusha reli yao mpaka jimbo la Katanga in DRC. tayari mradi huo umeshaanza kutekelezwa kwa kutumia mapato ya mafuta na gesi ya Angola.

..Malawi wana mpango wa kuimarisha reli kuelekea bandari ya Nacala ya Mozambique. Mtakumbuka tulikuwa tuna mipango ya kutumia bandari ya Mtwara kuhudumia Malawi.

..kwa kifupi Tanzania tunahitaji kutimua mbio sasa hivi, kwasababu wenzetu wameshatangulia.

cc Koborer, Ogah, Masanja, Ritz, Mdondoaji, NasDaz, Nguruvi3, Ngongo
 
Last edited by a moderator:
..nimefanya ka-research kadogo nikakuta kwamba Zambia wana miradi ya reli kwenda Angola[benguela railway], na mradi mwingine wa reli kwenda Mozambique[nacala port].

..pia nimegundua kwamba wa-Zambia hawana haraka ya kufufua Tazara kwasababu wanaona reli hiyo ni ndefu na haina ufanisi.

..jambo lingine ni kwamba jirani yao upande wa magharibi, yaani ANGOLA, ana mafuta na mapesa mengi mno. sasa it makes more sense kwao kujenga miundo mbinu kama reli kuelekea Angola ambako kuna visima vya mafuta.

..Angola pia wana mradi wa kurefusha reli yao mpaka jimbo la Katanga in DRC. tayari mradi huo umeshaanza kutekelezwa kwa kutumia mapato ya mafuta na gesi ya Angola.

..Malawi wana mpango wa kuimarisha reli kuelekea bandari ya Nacala ya Mozambique. Mtakumbuka tulikuwa tuna mipango ya kutumia bandari ya Mtwara kuhudumia Malawi.

..kwa kifupi Tanzania tunahitaji kutimua mbio sasa hivi, kwasababu wenzetu wameshatangulia.

cc Koborer, Ogah, Masanja, Ritz, Mdondoaji, NasDaz, Nguruvi3, Ngongo

Mkuu...nashukuru sana kwa kuliweka hili suala hapa......Economic Intelligence!...........

....All I'm saying is...... kila nchi inabidi kuangalia maslahi yake kwanza.......tusije jikuta na miradi iitwayo "white elephants".....kinachotuangusha sisi ni mifumo yetu ya kufanya kazi katika sekta muhimu kama TRANSPORT(reli, bandari, air na barabara).....bado ni mibovu sana.....business as usual.......uhaini/wizi/rushwa/ufisadi......kwenye hizi major gateway za nchi yetu ni mkubwa sana sana....... we must be very strong kiutendaji na kuongeza tija.....na kuongeza ufanisi kwenye network......hii mambo ya mikataba feki ya kuendesha infrastructure zetu kuanzia bandarini, reli, barabara na air transport inabidi ishughulikiwe kwa ukaribu sana......na as a PRIORITY!....wakati wenzetu wanakimbia na kutuzunguka.....na sisi inabidi tukimbie mara mbili/zaidi.......tutumie geographical position yetu vizuri.........

Hivi sasa nipo hapa Panama kwenye hii Canal Expansion Project......ukitembelea hii nchi ndio utajua nini maana advantage ya geographical position ya nchi......

Karibuni Panama.....
 
Mkuu...nashukuru sana kwa kuliweka hili suala hapa......Economic Intelligence!...........

....All I'm saying is...... kila nchi inabidi kuangalia maslahi yake kwanza.......tusije jikuta na miradi iitwayo "white elephants".....kinachotuangusha sisi ni mifumo yetu ya kufanya kazi katika sekta muhimu kama TRANSPORT(reli, bandari, air na barabara).....bado ni mibovu sana.....business as usual.......uhaini/wizi/rushwa/ufisadi......kwenye hizi major gateway za nchi yetu ni mkubwa sana sana....... we must be very strong kiutendaji na kuongeza tija.....na kuongeza ufanisi kwenye network......hii mambo ya mikataba feki ya kuendesha infrastructure zetu kuanzia bandarini, reli, barabara na air transport inabidi ishughulikiwe kwa ukaribu sana......na as a PRIORITY!....wakati wenzetu wanakimbia na kutuzunguka.....na sisi inabidi tukimbie mara mbili/zaidi.......tutumie geographical position yetu vizuri.........

Hivi sasa nipo hapa Panama kwenye hii Canal Expansion Project......ukitembelea hii nchi ndio utajua nini maana advantage ya geographical position ya nchi......

Karibuni Panama.....

vamanos.
 
Rwanda wana wivu nasi, Uganda wana wivu nasi, Kenya wana wivu nasi, kuna Malawi, Zambia Nao wana wivu nasi?...poor Tanzania utagombana na majirani zako wote.
Kuna giant kamfunga Tanzania Kamba ya shingoni anampeleka kusikojulikana...ameanza kwa Ku neutralise mahusiano na majirani zake ili Tanzania abaki Kama kisiwa.

miaka 10 ya kikwete imtuletea matatizo mengi sana na majirani zetu.
 
Back
Top Bottom