Punda wa Dobi
JF-Expert Member
- Jul 4, 2013
- 591
- 239
Hivi teller unataka kulipwa sh.ngapi? Hata mwalimi mwenye diploma anafanya hiyo kazi.
Loan officer unataka kulipwa sh.ngapi maana pale ni training hata ukimtrain Mwalimu anafanya hiyo kazi.
Tafuteni CPA,CISA au masters za finance halafu ufanye kazi za finance,mhasibu au auditor ndio utaona utamu wa bank.
utapotea vibaya, wanaokula hela benki ni walioko on the business side, ndio wanaoingiza revenue, hata bonus zao ni kubwa