RICARDO KAKA
JF-Expert Member
- May 26, 2012
- 865
- 338
Mkuu hapo kwenye VALENTINE hapo. ila hujasema kwa MHITIMU wanamlipa kiasi gani. Kama sio 250,000/= je ni kiasi gani?Equity hakuna mshahara wa 250,000 acha uongo wewe. Apply kazi tu mkuu mimi nipo Equity nakula maisha. Unataka ulipwe millions of money we ni nan? The bank grows faster believe me kuna chans kubwa ya kugrow nayo. Mameneja vijana sana huku, sio huko wamejaa wazee tu na ofisi wamezikalia wao tu.