HAKI KWA WOTE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2022
- 2,783
- 2,394
Ukombozi mkubwa na muhimu uliohitajika Afrika ni ukombozi wa KIFIKRA na siyo kupigana vita kama ilivyofanya Tanzania ndani ya Afrika.
Ukombozi uliofanywa na Tanzania ni kiini macho kwani Waafrika bado ni watumwa na wamechoka kimaisha hadi pale watakapojikomboa KIFIKRA wao wenyewe kwa kukaa chini na kutafakari juu ya siasa za demokrasia ambazo hamna duniani kote.
Demokrasia na dini ndiyo mizigo kwa Waafrika kwani inawapa wachache maisha mazuri kwa kiwanyonya wengi chini ya misingi ya serikali kupitia viongozi wenye tamaa.
Tujitafakari!!
Ukombozi uliofanywa na Tanzania ni kiini macho kwani Waafrika bado ni watumwa na wamechoka kimaisha hadi pale watakapojikomboa KIFIKRA wao wenyewe kwa kukaa chini na kutafakari juu ya siasa za demokrasia ambazo hamna duniani kote.
Demokrasia na dini ndiyo mizigo kwa Waafrika kwani inawapa wachache maisha mazuri kwa kiwanyonya wengi chini ya misingi ya serikali kupitia viongozi wenye tamaa.
Tujitafakari!!