mnyevushaji
Member
- Oct 4, 2011
- 24
- 1
Wadau msaada mdogo wangu katapeliwa na chuo feki cha anga cha tapeli Chalanga kipo tabata magengeni ambacho hakina usajili lakini mamlaka husika TCAA ikishindwa kumwajibisha jamaa mwenye chuo.
Nendeni CRDB Bank, Tabata mkajionee nanma utapeli unavyofanyika kwani watoto wa masikini wanatozwa dola elfu moja hadi elfu tatu huku vyeti wanavyopatiwa havitambuliwi na mamlaka yeyote hapa Tz, jamani aibu.
Nendeni CRDB Bank, Tabata mkajionee nanma utapeli unavyofanyika kwani watoto wa masikini wanatozwa dola elfu moja hadi elfu tatu huku vyeti wanavyopatiwa havitambuliwi na mamlaka yeyote hapa Tz, jamani aibu.