TANTRADE wanatafuta wanunuzi wa Korosho

TANTRADE wanatafuta wanunuzi wa Korosho

Kwahivyo barua inasema atakayeenda kununua toka kwa wakulima? msimu wa kuuza na kununua umeisha kule vijijini mkuu...
Loosen up huitaji hata ushuhuda ni common sense

Naona hujui nini kinaendelea, serekali imekusanya korosho toka kwa wakulima hilo ni kweli, lakini malipo hayajawafikia wakulima wote waliopeleka korosho zao. Kinachofanywa hapo ni kufanya utaratibu zinunuliwe ili wakawalipe hao wakulima wanaodai. Tena sio hiyo bei ya 3,300 bali chini ya hapo. Hili jambo naona unaniambia kwamba siasa itanipofua, lakini uko hapa Dar unapokea taarifa kwa wanasiasa tena waliovuruga hiyo biashara!!
 
Hahah wadanganyika, waliolipwa ni wenye kupita kwenye uhakiki tu. Wengine waliporwa korosho kitemi. So its likely zimetumika hela kiasi kidogo kuliko inavyopambwa kwenye vyombo vya habari!
 
Naona hujui nini kinaendelea, serekali imekusanya korosho toka kwa wakulima hilo ni kweli, lakini malipo hayajawafikia wakulima wote waliopeleka korosho zao. Kinachofanywa hapo ni kufanya utaratibu zinunuliwe ili wakawalipe hao wakulima wanaodai. Tena sio hiyo bei ya 3,300 bali chini ya hapo. Hili jambo naona unaniambia kwamba siasa itanipofua, lakini uko hapa Dar unapokea taarifa kwa wanasiasa tena waliovuruga hiyo biashara!!
Ikiwalipa wakulima hata 1500 ni miujiza kwao kwakuwa huwa hawapati hiyo toka kwa vibaka the Kangombaz
Raisi kasema Mtwara pesa zaidi zimepelekwa kuwalipa... u can bisha kama unatumia zaidi emotions koz u cant prove it wrong..
Na mwakani serikali hata isiponunua tayari wafanyabiashara wamejua kuwa serikali inafuatilia kwa karibu na hivyo price itapanda..
Hayo ndio mafanikio ya serikali hata kama imetumia njia usiyoipenda
 
Mbwiga wa kike wewe una akili kuliko serikali?!

Hahahaa....... Kwanza mlitoa povu wakulima hawajalipwa, sasa wameshalipwa wote mabadilisha goli.....ooh sijui wanunuzi?!!!!!!!

Subiri matokeo ya hiyo tenda ndio utajua kama Cecil Mwambe na Katani hawataunga mkono juhudi.

Siasa ni sayansi siyo kusubiria ruzuku mwisho wa mwezi!

Wewe unaleta siasa kusiko mkuu na hili ni tatizo kubwa. Hizo biliion 600 unafahamu zilikotoka? Unafahamu story za kampuni ya indo power na mbwembwe zote zile zilikoishia? Unafahamu hali ya hizo korosho tani 220,000 ikoje? Unafahamu misimu ya korosho duniani ikoje na madhara ya unapokuwa na korosho za msimu wa nyuma na mazao ya msimu mpya yakiwa tayari? Unafahamu hali ya wakulima wa korosho kusini na maandalizi ya msimu ujao yakoje? Nikusaidie tu kidogo, upo uwezekano mkubwa kama nchi tukaopoteza hizo 600b na msimu ujao huenda tukavuna nusu ya msimu uliopita.

Hayo mambo ya kuunga juhudi yafungulie uzi mwingine mkuu huku siko.
 
Ikiwalipa wakulima hata 1500 ni miujiza kwao kwakuwa huwa hawapati hiyo toka kwa vibaka waliokuwa wakinunua maua kwa 100.
Raisi kasema Mtwara pesa zaidi zimepelekwa kuwalipa... u can bisha kama unatumia zaidi emotions koz u cant prove it wrong..
Na mwakani serikali hata isiponunua tayari wafanyabiashara wamejua kuwa serikali inafuatilia kwa karibu na hivyo price itapanda..
Hayo ndio mafanikio ya serikali hata kama imetumia njia usiyoipenda

Ndio maana nakuambia huna ujualo zaidi ya kupiga porojo hapa jukwaani. Msimu uliopita hao wakulima walifanya biashara ya kutosha mpaka wakawa wananywesha mbuzi bia, serekali ilivyoona hivyo ikajua kwenye korosho ndio mahali pa kuchukulia point za mezani ikaamua kuingilia safari hii. Matokeo yake ndio ikatoa bei ya juu kwa wakulima ikidhani itaenda kuuza kwa bei ya juu lakini wapi. Kilichotokea ndio serikali chini ya kina Kabudi kwenda kuingizwa mkenge na kampuni ya kitapeli ya Kenya.

Kama kweli sio kwamba serikali ilienda kusaka kiki kwenye korosho, mbona kuna mazao hayana soko madhubuti kama mbaazi, kahawa, pamba nk na serekali haiendi kununua ili ikauze yenyewe? Mara ngapi tunaona wakulima wanapata hasara na serikali haijigusi? Ukweli ni kuwa serikali iliingilia jambo isiyo na ufahamu nalo baada ya kuona ina nafasi ya kujionyesha kwamba inasimamia pia kilimo. Hayo matangazo ya hizo korosho serikali ilidhani itaenda kuziuza yenyewe huko nje kwa faida, lakini imekuwa kinyume na hayo ni matumizi mabaya ya fedha za umma. Sasa ukitaka kujua hilo suala lina utata ngoja uone kama hiyo 600b itaonyeshwa kwenye matumizi ya bajeti ya kilimo au hata biashara na viwanda mwaka huu au mwaka ujao. Acha kupiga siasa nyepesi na Utetezi dhaifu kwenye mambo ya msingi boss.
 
Ndio maana nakuambia huna ujualo zaidi ya kupiga porojo hapa jukwaani. Msimu uliopita hao wakulima walifanya biashara ya kutosha mpaka wakawa wananywesha mbuzi bia, serekali ilivyoona hivyo ikajua kwenye korosho ndio mahali pa kuchukulia point za mezani ikaamua kuingilia safari hii. Matokeo yake ndio ikatoa bei ya juu kwa wakulima ikidhani itaenda kuuza kwa bei ya juu lakini wapi. Kilichotokea ndio serikali chini ya kina Kabudi kwenda kuingizwa mkenge na kampuni ya kitapeli ya Kenya.

Kama kweli sio kwamba serikali ilienda kusaka kiki kwenye korosho, mbona kuna mazao hayana soko madhubuti kama mbaazi, kahawa, pamba nk na serekali haiendi kununua ili ikauze yenyewe? Mara ngapi tunaona wakulima wanapata hasara na serikali haijigusi? Ukweli ni kuwa serikali iliingilia jambo isiyo na ufahamu nalo baada ya kuona ina nafasi ya kujionyesha kwamba inasimamia pia kilimo. Hayo matangazo ya hizo korosho serikali ilidhani itaenda kuziuza yenyewe huko nje kwa faida, lakini imekuwa kinyume na hayo ni matumizi mabaya ya fedha za umma. Sasa ukitaka kujua hilo suala lina utata ngoja uone kama hiyo 600b itaonyeshwa kwenye matumizi ya bajeti ya kilimo au hata biashara na viwanda mwaka huu au mwaka ujao. Acha kupiga siasa nyepesi na Utetezi dhaifu kwenye mambo ya msingi boss.
kumbe naongea na mshirikiana... nimeishia kusoma neno mbuzi sisomi tena pumba
 
Ndio maana nakuambia huna ujualo zaidi ya kupiga porojo hapa jukwaani. Msimu uliopita hao wakulima walifanya biashara ya kutosha mpaka wakawa wananywesha mbuzi bia, serekali ilivyoona hivyo ikajua kwenye korosho ndio mahali pa kuchukulia point za mezani ikaamua kuingilia safari hii. Matokeo yake ndio ikatoa bei ya juu kwa wakulima ikidhani itaenda kuuza kwa bei ya juu lakini wapi. Kilichotokea ndio serikali chini ya kina Kabudi kwenda kuingizwa mkenge na kampuni ya kitapeli ya Kenya.

Kama kweli sio kwamba serikali ilienda kusaka kiki kwenye korosho, mbona kuna mazao hayana soko madhubuti kama mbaazi, kahawa, pamba nk na serekali haiendi kununua ili ikauze yenyewe? Mara ngapi tunaona wakulima wanapata hasara na serikali haijigusi? Ukweli ni kuwa serikali iliingilia jambo isiyo na ufahamu nalo baada ya kuona ina nafasi ya kujionyesha kwamba inasimamia pia kilimo. Hayo matangazo ya hizo korosho serikali ilidhani itaenda kuziuza yenyewe huko nje kwa faida, lakini imekuwa kinyume na hayo ni matumizi mabaya ya fedha za umma. Sasa ukitaka kujua hilo suala lina utata ngoja uone kama hiyo 600b itaonyeshwa kwenye matumizi ya bajeti ya kilimo au hata biashara na viwanda mwaka huu au mwaka ujao. Acha kupiga siasa nyepesi na Utetezi dhaifu kwenye mambo ya msingi boss.
Kiki umetaka wewe ila serikali imefanya ilichoona muhimu.... nawajua wanangu akina Omari walikuwa wanapiga pesa ya kufa mtu huko... acheni kuishi kwa kuchukia kila kinachofanywa na serikali
Upuuzi huu ndio unatufanya tushindwe hata kuelewa kama mnayopinga ni muhimu ama la.
Kimsingi tumewachoka nyumbu...
So kwa hii mada kwakuwa unaandika ujinga just go wet yourself
 
Nashauri Serikali kwanza itafute ushauri kabla ya kutekeleza jambo lolote linalotaka kulichukua. Hili la korosho sasa inataka kuwa na ukakasi.
 
kwahiyo kama haziuziki watugaie ile kilo mbili mbili tutafune
 
Kiki umetaka wewe ila serikali imefanya ilichoona muhimu.... nawajua wanangu akina Omari walikuwa wanapiga pesa ya kufa mtu huko... acheni kuishi kwa kuchukia kila kinachofanywa na serikali
Upuuzi huu ndio unatufanya tushindwe hata kuelewa kama mnayopinga ni muhimu ama la.
Kimsingi tumewachoka nyumbu...
So kwa hii mada kwakuwa unaandika ujinga just go wet yourself

Sishangai hitimisho lako likiwa hili maana hukuwa na hoja za msingi zaidi ya mahaba niue. Nilitarajia ungenionyesha ni kwa jinsi gani serikali inashughulikia kilimo na kutafuta ufumbuzi wa mazao niliyokutajia, sioni popote zaidi ya kujificha sijui kwenye ushirikina na upuuzi kama huo. Kaa kushoto, nendeni mkawalishe wananchi propaganda ambao hawana uwezo wa kuhoji lolote.
 
Tangazo la TANTRADE kwamba wanatafuta wanunuzi wa Korosho linanifanya nijiulize wale Wakenya waliishia wapi?

Je, wizara haina network kuuza korosho wakati ni bidhaa inayosakwa Sana Duniani? We are lacking people with business mind, tunaongozwa na watumishi wa umma na si wafanyabiashara

View attachment 1064906

Naomba nikukumbushe kuwa, unapominya uhuru wa habari na demokrasia na kukiuka haki za binaadamu, wale wanunuzi wakuu huwa wanakubaliana hakuna kununua kitu kutoka kwako. hiyo ni rasharasha tu.
 
Tangazo la TANTRADE kwamba wanatafuta wanunuzi wa Korosho linanifanya nijiulize wale Wakenya waliishia wapi?
Je, wizara haina network kuuza korosho wakati ni bidhaa inayosakwa Sana Duniani? We are lacking people with business mind, tunaongozwa na watumishi wa umma na si wafanyabiashara
View attachment 1064906
Tupewe mrejesho wa ununuzi wa korosho na zimeuzwa wapi na nchi imepata kiasi gani.
 
Back
Top Bottom