TANTRADE wanatafuta wanunuzi wa Korosho

TANTRADE wanatafuta wanunuzi wa Korosho

Serikali ya Tanzania kupitia tantrade imetangaza zabuni jana kumtafuta mnunuzi wa korosho ghafi tani 220 000 na tani 240 za korosho iliyobanguliwa.

Hayo yamekuja baada ya makubaliano kati ya serikali na kampuni ya Indo Power solution kuota mbawa.

Chanzo:
The citizen
Hiyo ni kawaida cha muhimu wakulima wa korosho wameshalipwa fedha zao takribani sh 600 bilioni na juzi Rais Magufuli kaongeza sh 50 bilioni nyingine kuwamalizia kuwalipa wale wenye tani nyingi!
 
Hiyo ni kawaida cha muhimu wakulima wa korosho wameshalipwa fedha zao takribani sh 600 bilioni na juzi Rais Magufuli kaongeza sh 50 bilioni nyingine kuwamalizia kuwalipa wale wenye tani nyingi!
Hizo 600b serikali imezitoa wapi?
Na manunuzi hayo ya korosho yalipitishwa kwenye bajet ya bunge lipi?

Serikali ya awamu ya 5 imefanya maamuzi ya hovyo kujiingiza kwenye biashara ya korosho.
Matokeo yake kampuni zilizokuwa zinafanya biashara hii zimefungwa

Rejea
 
Cha muhimu wakulima wa korosho wameshalipwa fedha zao... Hizo unazoleta ni siasa nyepesi!
Hakika wewe ni mmoja ya wajinga wakubwa kuwahi tutokea hapa nchini. Sasa wakulima wakilipwa ndio nini? Je, unajua ni hela ya nani imetumika (au itakayotumika) kununua mzigo ambao utaoza kwenye maghala bila ya mnunuzi?
Serikali haikupaswa kabisa kuingia kwenye hii biashara kwa kukurupuka hivi.
 
Hakika wewe ni mmoja ya wajinga wakubwa kuwahi tutokea hapa nchini. Sasa wakulima wakilipwa ndio nini? Je, unajua ni hela ya nani imetumika (au itakayotumika) kununua mzigo ambao utaoza kwenye maghala bila ya mnunuzi?
Serikali haikupaswa kabisa kuingia kwenye hii biashara kwa kukurupuka hivi.
Mbwiga wa kike wewe una akili kuliko serikali?!

Hahahaa....... Kwanza mlitoa povu wakulima hawajalipwa, sasa wameshalipwa wote mabadilisha goli.....ooh sijui wanunuzi?!!!!!!!

Subiri matokeo ya hiyo tenda ndio utajua kama Cecil Mwambe na Katani hawataunga mkono juhudi.

Siasa ni sayansi siyo kusubiria ruzuku mwisho wa mwezi!
 
Mbwiga wa kike wewe una akili kuliko serikali?!

Hahahaa....... Kwanza mlitoa povu wakulima hawajalipwa, sasa wameshalipwa wote mabadilisha goli.....ooh sijui wanunuzi?!!!!!!!

Subiri matokeo ya hiyo tenda ndio utajua kama Cecil Mwambe na Katani hawataunga mkono juhudi.

Siasa ni sayansi siyo kusubiria ruzuku mwisho wa mwezi!
Wakulima tuko na hapa JF pia.

BADO SIJALIPWA.

Sijui hizo kelele unazosema tumelipwa 600b unazitoa wapi?
 
Mbwiga wa kike wewe una akili kuliko serikali?!

Hahahaa....... Kwanza mlitoa povu wakulima hawajalipwa, sasa wameshalipwa wote mabadilisha goli.....ooh sijui wanunuzi?!!!!!!!

Subiri matokeo ya hiyo tenda ndio utajua kama Cecil Mwambe na Katani hawataunga mkono juhudi.

Siasa ni sayansi siyo kusubiria ruzuku mwisho wa mwezi!
Huna tofauti na ndugu Ndugai, hujui nini unasema zaidi ya kupayuka....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
PM na boss wake wakawaangukie wale waliokuwa wameonyesha nia ya dhati mwanzo. Ujuaji mwiiiingi mbele giza
 
Hakika wewe ni mmoja ya wajinga wakubwa kuwahi tutokea hapa nchini. Sasa wakulima wakilipwa ndio nini? Je, unajua ni hela ya nani imetumika (au itakayotumika) kununua mzigo ambao utaoza kwenye maghala bila ya mnunuzi?
Serikali haikupaswa kabisa kuingia kwenye hii biashara kwa kukurupuka hivi.
Nyerere aliwahi kuuliza kuna biashara gani Ikulu hata watu wanakimbilia? Uongozi uliopo umetudhihirishia kuwa Ikulu kuna biashara ya kununua na kuuza chochote zikiwemo korosho, mbaazi, dhahabu etc
 
Duu zinauzwa rejareja sasa mpaka mahotelini na madukani?
Tukihoji kwanini hatuwezi kupata vibali haraka vya kupeleka nje ya nchi kama Ulaya hayo mazao yetu jibu halipatikani kwa wahusika
Sasa wanunuzi wanatafutwa wa ndani

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Tangazo la TANTRADE kwamba wanatafuta wanunuzi wa Korosho linanifanya nijiulize wale Wakenya waliishia wapi?

Je, wizara haina network kuuza korosho wakati ni bidhaa inayosakwa Sana Duniani? We are lacking people with business mind, tunaongozwa na watumishi wa umma na si wafanyabiashara

View attachment 1064906
Bila shaka serikali inastahili pongezi kwa umakini kwani kuna tuliyoamini ile kampuni ya kenya walikua matapeli wakitegemea kupata ushirikiano kutoka vigogo fisadi nchini ambao siku hizi wamekua haba ili kuiba korosho na kuitia serikali yetu hasara kubwa.
 
Back
Top Bottom