TANROADS pale Mbezi mwisho jengeni bypass kama hii

TANROADS pale Mbezi mwisho jengeni bypass kama hii

Tabutupu

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2010
Posts
13,262
Reaction score
18,711
Tanroads tunaomba sana wakati mnajenga barabara ya Kimara - Kibaha hakikisheni mnajenga kwa kiwango cha kimataifa, dar es salaam tunahitaji bypass roads, na sio mtuwekee taa za kuongozea magari.

Jifunzeni kenya , wameawezaje ?

Tunahitaji barabara ambayo mtu akitoka Kibaha, iwe ni none stop hadi bandarini.

Jengeni Highway ya kueleweka, mmebomoa na mna nafasi ya kutosha, hamna sababu ya kujenga vibarabara vya ajabu ajabu.


Bypass ya kwanza ni pale MBEZI MWISHO .
 

Attachments

  • south2.jpg
    south2.jpg
    102.3 KB · Views: 151
  • C_DvydUWAAIV36w.jpg
    C_DvydUWAAIV36w.jpg
    107.4 KB · Views: 150
Tanroads tunaomba sana wakati mnajenga barabara ya Kimara - Kibaha hakikisheni mnajenga kwa kiwango cha kimataifa, dar es salaam tunahitaji bypass roads, na sio mtuwekee taa za kuongozea magari.

Jifunzeni kenya , wameawezaje ?

Tunahitaji barabara ambayo mtu akitoka Kibaha, iwe ni none stop hadi bandarini.

Jengeni Highway ya kueleweka, mmebomoa na mna nafasi ya kutosha, hamna sababu ya kujenga vibarabara vya ajabu ajabu.


Bypass ya kwanza ni pale MBEZI MWISHO .
Wakijenga hivyo watapata wapi hela za kununua wabunge, madiwani na viongozi wa upinzani
 
sasa je hili wazo litakubaliwa kwa wakati muafaka??
ndio wakati muaafaka kwani watajenga kwa Design and Build , kwa maana kwamba constructor ana Fanya design huku anajenga. Hivyo huwezi kujua project itakuwaje mwisho hadi atakapo maliza ndio maana hadi sasa hatujui nini wanataka kufanya.
 
Huo mradi unahitaji gharama kubwa za pesa usione ni rahisi kihivyo
mkuu pia sio gharama sana kwani daraja moja tuu ndio linahitajika nalo linajengwa kwa kutoka goba kuelekea kinyerezi ... morogoro road inabaki chini,
 
mkuu pia sio gharama sana kwani daraja moja tuu ndio linahitajika nalo linajengwa kwa kutoka goba kuelekea kinyerezi ... morogoro road inabaki chini,
well in good kama wataridhia wazo lako itakuwa vyema sana mkuu
 
ndio wakati muaafaka kwani watajenga kwa Design and Build , kwa maana kwamba constructor ana Fanya design huku anajenga. Hivyo huwezi kujua project itakuwaje mwisho hadi atakapo maliza ndio maana hadi sasa hatujui nini wanataka kufanya.
anhaa hapo sawa mkuu..ni vyema sana tusubiri kama itakuwa hivyo
 
Back
Top Bottom