KERO TANROAD,Hizi Taa Zitasababisha Ajali.

KERO TANROAD,Hizi Taa Zitasababisha Ajali.

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
both
wapo wanaowajibika na wapo wasiowajibika
Well,
Hadi wakati huu, bado tunahangaika na utata wa upatikanaji wa hao viongozi, achilia mbali kuhusu uwajibikaji.
Mambo ya tume ya uchaguzi, katiba, haki za binadam, utawala bora, ufisadi, uchawa....orodha ni ndefu.

Lakini eneo moja ambalo tunafanya vizuri, ufisadi, hapo tuko mbele.

Imagine mkuu wa nchi anaongelea uchafu wa jiji, tena kongwe lenye watu wanaojiita viongozi kwenye kila nafasi iliyopo.

Hapo hatujagusa ubovu wa huduma za kijamii kwenye maeneo mengine.

Bado mkuu anasema huo uozo wa wasaidizi wake anaowaita wanajeshi wake, dawa ni kuwahamisha vituo ili kuwaokoa.

Kumbuka hatuna rasirimali za kujaribu na zisizoisha, na muda haupo, tukiendelea na huu mchezo wa kutokua na uelekeo sahihi, hatutafika popote.

Back to your question,

Viongozi kwa maana ya kujaza nafasi kwa muktadha wa muundo wetu wapo. Na wanapatiwa stahiki zao kadri ya taratibu zilizopo.

Kwenye huu uzi unaona taa zinatengenezwa, zinajaribiwa, barabara inaanza kutumika, bado hizo kasoro zipo na hao viongozi wamejaza nafasi na kupokea stahiki zao.

Hapo ndio msingi wa kauli yangu kwamba, bora waje wenye weledi wa mambo ya uongozi na usimamizi wa mambo. Sie tuendelee kufuga, kulima na kuchunga.
 
Na mbaya zaidi pale pana U-turn, kuna muda unajiuliza hiv akili zetu ziko sawa kweli..??
Una maana hapa Uhamiaji junction kuna u-turn? Yaani magari yanayotokea Uhasibu kwemda mjini yana u turn hapo kwenye mataa? Mimi nikifikiri wanapiga unturn kienyeji maana hakuna taa inayoruhusu kwenda kulia.
 
Leo nimepita tena hapo taa zipo vile vile
20260905_085532.jpg
 
Kwenu Tanroads na wahusika wengine wa usalama barabarani. Taa za kuongoza magari katika makutano ya Barabara ya Kilwa na Barabara ya Kawawa zimesetiwa kimakosa. Taa hizi zinaruhusu magari yaa kawaida kunyoosha moja kwa moja na mabasi ya mwendokasi kukata kulshoto na kunyoosha kwa wakati mmoja. Ilivyotakiwa iwapo taa zitaruhisu magari kwenye njia ya kawaida kunyoosha na mabasi nayo yanyooshe. Na iwapo taa za mwendokasi zitaruhusu mabasi kukata kushoto ilibidi magari madogo yasimamishwe na taa hizo.
Kwa wasiojua nazungumzia eneo gani ni pale Chuo cha Diplomasia au Malao Maluu ya Uhamiaji.
View attachment 3663112
View attachment 3663113
kati ya JItegemee na polisi njiapanda ya Kilwa na Chang'ombe kuelekea DUCE chuo kikuu.
 
Back
Top Bottom