1.Kassim Majaliwa .
Hakika Waziri Mkuu anastahili pongezi zisizozidi kifani ni kiongozi mstaarabu mwenye weredi na mpambanaji. Amefanya na amesimamia objective na responsibilities zake ipasavyo
2.Rogers Sianga
Huyu ni kamishna wa mamlaka wa kupambana na dawa za kulevya nchini. Amefanya kazi nzuri hasa kuzuia na tokomeza kabisa dawa hatalishi kwa maisha ya vijana kama heroin na cocein.
3.Saimon Nyangoro Siro.
Ni mkuu wa Jeshi la Polisi nchi kwetu. Kwa kweli amejitahidi kadri ya uwezo wake kwenye issue zote zinazohusiana na uharifu na kulinda raia pamoja na mali zao kikamilifu mfano issue ya Kibiti.
4.Waziri Mahiga.
Huyu ni waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa very talented kwenye masuala ya diplomacy, hana pupa na ni mwelewa. Amemuwakilisha Rais kwenye nyadhifa mbalimbali zinazohusu nchi yetu.
5.Antony Mtaka
Huyu ni top contributor kwenye masuala yote ya maendeleo ya kijamii kwenye mkoa wake wa Simiyu. Ni mmoja ya viongozi wenye busara sana. Amehamasisha masuala mengi tu yanayohusiana na jamii kama kushiriki kwa pamoja kwenye ujenzi wa shule na n.k.
Hakika Waziri Mkuu anastahili pongezi zisizozidi kifani ni kiongozi mstaarabu mwenye weredi na mpambanaji. Amefanya na amesimamia objective na responsibilities zake ipasavyo
2.Rogers Sianga
Huyu ni kamishna wa mamlaka wa kupambana na dawa za kulevya nchini. Amefanya kazi nzuri hasa kuzuia na tokomeza kabisa dawa hatalishi kwa maisha ya vijana kama heroin na cocein.
3.Saimon Nyangoro Siro.
Ni mkuu wa Jeshi la Polisi nchi kwetu. Kwa kweli amejitahidi kadri ya uwezo wake kwenye issue zote zinazohusiana na uharifu na kulinda raia pamoja na mali zao kikamilifu mfano issue ya Kibiti.
4.Waziri Mahiga.
Huyu ni waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa very talented kwenye masuala ya diplomacy, hana pupa na ni mwelewa. Amemuwakilisha Rais kwenye nyadhifa mbalimbali zinazohusu nchi yetu.
5.Antony Mtaka
Huyu ni top contributor kwenye masuala yote ya maendeleo ya kijamii kwenye mkoa wake wa Simiyu. Ni mmoja ya viongozi wenye busara sana. Amehamasisha masuala mengi tu yanayohusiana na jamii kama kushiriki kwa pamoja kwenye ujenzi wa shule na n.k.
