Tano Bora ya Makanisa yenye Vyuo Vikuu vingi Ulimwenguni...

mitale na midimu

JF-Expert Member
Aug 26, 2015
10,420
17,701
Duniani kuna Madhehebu ya kikristo zaidi ya Million 37 ...
Kati ya haya yafuatayo ndio Makanisa yenye vyuo vikuu vingi ulimwenguni...

1: Kanisa Katoliki: Wanazaidi ya Vyuo vikuu 1300 ulimwenguni kote.

2:Waanglikana:Wanazaidi ya Vyuo 131 ulimwenguni kote.

3:Waadventista Wasabato (SDA ) Wanavyuo zaidi ya 120 ulimwenguni kote

4:Wabaptisti hawa wanavyuo zaidi ya 72 ulimwenguni Kote.

5: Kanisa la kristo (Church of Christ) hawa wanavyuo takribani 31 ulimwenguni kote, Wakimiliki chuo kikuu kiitwacho pepperdine university chuo chenye mandhari nzuri inasadikiwa kuliko vyuo vyote ulimwenguni.


"Mkamate sana elimu, usimuache aendezake maana yeye ndio uzima wako".
 
sawa, Catholic church maana siku hizi hawataki kuitwa Roman Catholic aka RC

Sio siku hizi, hilo Kanisa wala halikuwahi kuitwa hivyo na Wakatoliki, bali hilo jina lilianzishwa na wasio Wakatoliki, wakati Anglican inaanzishwa (english Catholic), wakaamua kulitofautisha Kanisa lao na Catholic na ndio Wakaanza kuliita Roman Catholic, so kukawa na English Catholic (Anglican) na Roman Catholic (Vatican rite)
 
pepperdine-university.jpg
 
Sio siku hizi, hilo Kanisa wala halikuwahi kuitwa hivyo na Wakatoliki, bali hilo jina lilianzishwa na wasio Wakatoliki, wakati Anglican inaanzishwa (english Catholic), wakaamua kulitofautisha Kanisa lao na Catholic na ndio Wakaanza kuliita Roman Catholic, so kukawa na English Catholic (Anglican) na Roman Catholic (Vatican rite)
sawa mkuu, kwa sababu waingereza nao walitawala sehemu kubwa ya dunia na huko ndiko hilo neno Romish Catholic au Popish Catholic au Roman Catholic ilianzia hapo nimeelewa.
Mwanzoni nilikuwa najua kwa sababu Ile Roman Empire ilifanya maasi na Kumuua hadi Yesu nikajua labda walibadilisha ili kujitenga na tawala zile kimtazamo hasa kuonyesha wale sio hawa.
 
Back
Top Bottom