mambo_safi
Senior Member
- Jul 22, 2019
- 147
- 391
Una risiti ya manunuzi ya TRaHili tanki lina miezi 2 tangu nilinunue kwahiyo bado jipya. Pili nimeweka koki yake kwa gharama ya shilling 40,000. Kwa bei ya laki nne (wakubwa) niko fair sana. Nimechimba kisima cha kuvuna maji ndo maana naliuza nikanunulie pump!
Hiyo ni bei ya jumla mkuu na kama ni kweli basi itakuwa ni bei ya mjini. Lakini kwa maeneo karibu na Kibaha bei ni 550,0000 (laki tano na nusu) ukiongeza usafiriSimtank jipya 3,000litres = TZS 450,000/=
Ndiyo risiti niliyoinunulia miezi miwili iliyopita ninayoUna risiti ya manunuzi ya TRa
Kwani akinunua kwako hamna usafiri?Hiyo ni bei ya jumla mkuu na kama ni kweli basi itakuwa ni bei ya mjini. Lakini kwa maeneo karibu na Kibaha bei ni 550,0000 (laki tano na nusu) ukiongeza usafiri
I seee! Good for you!Mwaka Jana nimenunua tank Kama Hilo dukani kwa laki tatu na themanini,
Kumbe imeshapanda hivyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Akinunua kwangu nitachangia usafiri!
Kwa aliyeserious alete 380,000/=
Tuchekiane ikifika 195,000/= nicheki.