Mwanadiplomasia Mahiri JF-Expert Member Joined Nov 4, 2019 Posts 672 Reaction score 2,283 Jul 29, 2025 #1 Baadhi ya wateuliwa wa nafasi ya Ubunge leo kupitia ccm ni wana familia wa familia maarufu hapa Tanzania. Ni kama wanasubiria muda waende na madereva wao wa VX LC 300 kwenda kuapishwa Dodoma. Chama kina wenyewe na wenyewe hawana kelele huku mitandaoni. DJ naomba kibao cha “Kalayi boeing” nisindikize kinywaji changu taratibu! Sisi wengine tuendelee kutafuta ajira tamisemi
Baadhi ya wateuliwa wa nafasi ya Ubunge leo kupitia ccm ni wana familia wa familia maarufu hapa Tanzania. Ni kama wanasubiria muda waende na madereva wao wa VX LC 300 kwenda kuapishwa Dodoma. Chama kina wenyewe na wenyewe hawana kelele huku mitandaoni. DJ naomba kibao cha “Kalayi boeing” nisindikize kinywaji changu taratibu! Sisi wengine tuendelee kutafuta ajira tamisemi
Meja Jenerali Isamuhyo JF-Expert Member Joined May 20, 2017 Posts 3,140 Reaction score 9,690 Jul 29, 2025 #2 Ukoo wa Mwinyi wanakabia juu🤣🤣
M mwanamabadiliko JF-Expert Member Joined Oct 30, 2010 Posts 1,364 Reaction score 2,394 Jul 29, 2025 #3 Ndo hivo mkombozi yupo jela
Mwachiluwi JF-Expert Member Joined Mar 10, 2022 Posts 33,586 Reaction score 66,303 Jul 29, 2025 #4 Duh
Griss JF-Expert Member Joined Jun 26, 2025 Posts 337 Reaction score 1,945 Jul 29, 2025 #5 Msongola gang ni janga la taifa
Mwachiluwi JF-Expert Member Joined Mar 10, 2022 Posts 33,586 Reaction score 66,303 Jul 29, 2025 #6 Mchochezi said: Mimi ni mbunge na possible ntakuwa Waziri Mke wangu ni Mbunge Ma’ mkwe ni namba 1 Shem ni namba 1 kisiwani Je mimi ni nani? Click to expand... 😂😂
Mchochezi said: Mimi ni mbunge na possible ntakuwa Waziri Mke wangu ni Mbunge Ma’ mkwe ni namba 1 Shem ni namba 1 kisiwani Je mimi ni nani? Click to expand... 😂😂
Egwugu JF-Expert Member Joined Mar 16, 2011 Posts 17,558 Reaction score 8,553 Jul 29, 2025 #7 Mwanadiplomasia Mahiri said: Baadhi ya wateuliwa wa nafasi ya Ubunge leo kupitia ccm ni wana familia wa familia maarufu hapa Tanzania. Ni kama wanasubiria muda waende na madereva wao wa VX LC 300 kwenda kuapishwa Dodoma. Chama kina wenyewe na wenyewe hawana kelele huku mitandaoni. DJ naomba kibao cha “Kalayi boeing” nisindikize kinywaji changu taratibu! Sisi wengine tuendelee kutafuta ajira tamisemi View attachment 3423635View attachment 3423636View attachment 3423638View attachment 3423640View attachment 3423641View attachment 3423644View attachment 3423649 Click to expand... Dah, hadi uzuni aisee ...anyway,nisije kumkufuru Mungu wangu bure lakini...
Mwanadiplomasia Mahiri said: Baadhi ya wateuliwa wa nafasi ya Ubunge leo kupitia ccm ni wana familia wa familia maarufu hapa Tanzania. Ni kama wanasubiria muda waende na madereva wao wa VX LC 300 kwenda kuapishwa Dodoma. Chama kina wenyewe na wenyewe hawana kelele huku mitandaoni. DJ naomba kibao cha “Kalayi boeing” nisindikize kinywaji changu taratibu! Sisi wengine tuendelee kutafuta ajira tamisemi View attachment 3423635View attachment 3423636View attachment 3423638View attachment 3423640View attachment 3423641View attachment 3423644View attachment 3423649 Click to expand... Dah, hadi uzuni aisee ...anyway,nisije kumkufuru Mungu wangu bure lakini...
Mr Attorney JF-Expert Member Joined Mar 30, 2020 Posts 25,565 Reaction score 34,707 Jul 29, 2025 #8 Teko Modise said: Ukoo wa Mwinyi wanakabia juu🤣🤣 Click to expand... Ndio inapaswa kuwa hivyo
Meja Jenerali Isamuhyo JF-Expert Member Joined May 20, 2017 Posts 3,140 Reaction score 9,690 Jul 29, 2025 #9 Mwakawabaraka said: Ndio inapaswa kuwa hivyo Click to expand... 🥶🥶
I Iron dome JF-Expert Member Joined Nov 10, 2023 Posts 1,105 Reaction score 3,136 Jul 29, 2025 #10 Mchochezi said: Mimi ni mbunge na possible ntakuwa Waziri Mke wangu ni Mbunge Ma’ mkwe ni namba 1 Shem ni namba 1 kule ng’ambo Je mimi ni nani? Click to expand... Wewe ni kifua kipana!...
Mchochezi said: Mimi ni mbunge na possible ntakuwa Waziri Mke wangu ni Mbunge Ma’ mkwe ni namba 1 Shem ni namba 1 kule ng’ambo Je mimi ni nani? Click to expand... Wewe ni kifua kipana!...
Mi mi JF-Expert Member Joined Jul 14, 2024 Posts 5,876 Reaction score 11,203 Jul 29, 2025 #11 Hata wewe ungefanya hivyo.
Mchochezi JF-Expert Member Joined Feb 29, 2012 Posts 11,449 Reaction score 9,747 Jul 29, 2025 #12 Mwashambwa hauoni uzi huu?
Mulhat Mpunga JF-Expert Member Joined Oct 28, 2010 Posts 27,650 Reaction score 16,723 Jul 29, 2025 #13 Nchi imekuwa ya kisultani👺👹
R roadmaster JF-Expert Member Joined Mar 21, 2023 Posts 1,707 Reaction score 2,885 Jul 29, 2025 #14 Bado wa mwigulu yupo form twoanakuja
R roadmaster JF-Expert Member Joined Mar 21, 2023 Posts 1,707 Reaction score 2,885 Jul 29, 2025 #15 Natabiri hili litakuwa bunge la hovyo kuwahi kutokea duniani!!! Mark my words
fasiliteta JF-Expert Member Joined Jul 2, 2014 Posts 2,598 Reaction score 4,471 Jul 29, 2025 #16 Unategemea nn wakati upinzani wamejaa matapeli kama DJ na mzito kabwela
Waziri wa Kaskazini JF-Expert Member Joined Dec 12, 2015 Posts 8,596 Reaction score 19,019 Jul 29, 2025 #17 Family ina hela ila
Mr Attorney JF-Expert Member Joined Mar 30, 2020 Posts 25,565 Reaction score 34,707 Jul 30, 2025 #18 Watanzania wote ni wanachama wa Ccm. Mwenye povu akafulie chupi zake.
Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Joined Aug 7, 2014 Posts 102,676 Reaction score 126,848 Jul 30, 2025 #19 Teko Modise said: Ukoo wa Mwinyi wanakabia juu🤣🤣 Click to expand... Ukoo wa Mwinyi, Kikwete na Samia wameukamata mfumo vizuri sn
Teko Modise said: Ukoo wa Mwinyi wanakabia juu🤣🤣 Click to expand... Ukoo wa Mwinyi, Kikwete na Samia wameukamata mfumo vizuri sn
DR HAYA LAND JF-Expert Member Joined Dec 26, 2017 Posts 31,737 Reaction score 81,809 Jul 30, 2025 #20 Benjamini Netanyahu said: Ukoo wa Mwinyi, Kikwete na Samia wameukamata mfumo vizuri sn Click to expand... Hiyo kwa sisiemu kawaida yao mkuu .
Benjamini Netanyahu said: Ukoo wa Mwinyi, Kikwete na Samia wameukamata mfumo vizuri sn Click to expand... Hiyo kwa sisiemu kawaida yao mkuu .