Tangulia na dereva tukutane Dodoma

Mwanadiplomasia Mahiri

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2019
Posts
672
Reaction score
2,283
Baadhi ya wateuliwa wa nafasi ya Ubunge leo kupitia ccm ni wana familia wa familia maarufu hapa Tanzania.

Ni kama wanasubiria muda waende na madereva wao wa VX LC 300 kwenda kuapishwa Dodoma.

Chama kina wenyewe na wenyewe hawana kelele huku mitandaoni.

DJ naomba kibao cha “Kalayi boeing” nisindikize kinywaji changu taratibu!

Sisi wengine tuendelee kutafuta ajira tamisemi
 
Dah, hadi uzuni aisee ...anyway,nisije kumkufuru Mungu wangu bure lakini...
 
Unategemea nn wakati upinzani wamejaa matapeli kama DJ na mzito kabwela
 
Watanzania wote ni wanachama wa Ccm.

Mwenye povu akafulie chupi zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…