Tangu Serikali hii iingie madarakani mtumishi wa umma hajawahi kufanya kazi kwa uhuru

Kkimondoa

JF-Expert Member
May 31, 2014
4,453
4,933
Tangu serikali hii imeingia madarakani haijawahi tokea watumishi wa umma wakafanya Kazi kwa uhuru hata siku moja tangu mh. huyu aunde serikali yake utadhan aliapa kupambana na watumishi wa umma maana kumekuwa na usumbufu usio koma kwa watumishi kitu ambacho kinarudisha nyuma hari ya utendaji na kukatisha tamaa kabisa,

Imekuwa kama kukomoa watumishi sijui kosa Lao ni lipi maana badala ya watumishi kuifurahia Elimu Yao eanaijutia Elimu Yao na wanajuta kuwa warumish chini ya serikali hii

Watumishi hawakai wakatulia wakajenga maisha Yao kila Mara uatasikia Hilo Mara lile ili mradi tu wasumbuke mfano

1 . Liloanza la watumishi hewa
2. Likaja la vyeti feki hili likafyeka hadi haki zao za kiutumishi na likadumu kwa zaid ya mwaka
3. Likaja la kuhamisha watumishi idara mbalimbali afya Elimu nk ambao hadi Leo hawajalipwa stahiki zao
4. Limekuja Hilo tena kuhamisha watumushi idara mbalimbali wakutoka Dar kwenda Dodoma wa kutoka hosptali za rufaa kwenda za mikoa na wilaya na sasa wakutoka sekondari kwenda primary pamoja na hayo yote wengi wa walio hamishwa hawajalipwa stahiki zao reshuffle iliyo fanyika mwaka Jana kwa watumish halmashauri nyingi hawajalipwa hadi sasa na bado hao hao tena wana hamishwa tena

Hivi serikali hii na wenye mamlaka mnazingatia kweli haki na utu wa watu hawa au kwa vile nivyi mna mamlaka basi hamna haja ya kujua maumivu ya wengine?

Maana haya sasa ni manyanyaso yaliyo vuka mipaka kipindi cha.uhakiki watu walitumia Pesa hadi za mikopo wana lala guest na vijimishahara vyennyewe ndio hivyo kidogo lakin ealivumilia serikali itimize azma yake lakin bado serikali haichoki kuwa sakama kila uchwao

Vitisho kila siku maneno ya hovyo wanatamkiwa wao haki zao wana nyimwa hawana uhuru wa kufanya Kazi kwa furaha. haki zao ndio hizo tena kwa miaka miwili wanaongezewa elfu nane. lakin masimango hayaishi kutwa kutishwa na kunyanyaswa na wateţndaji wawilaya, wakurugezi,wakuu wa wilaya na mikoa bila huruma

Analazimishwa kufanya Kazi kwa weledi wakati huo haki zake hapewi

Serikali mnaweza jiona mko sahihi kwa sababu ninyi hamapati shida yeyote wala maumivu yeyote lakin mnacho kifanya kwa watumishi wa umma ambao kimantinki ndio wasaidizi wenu kiuttendaji ngazi ya local government kwakwelI NI UNYANYASAJI MKUBWA NA UONEVU MKUBWA

Muwe na utu walau kidogo haya mnayo wafanyia watumishi mkifanyiwa ninyi mngekuwa na amani kabisa mioyoni mwenu? pamoja nasema uzalendo ni uzalendo gani ambao mnauhubiri huku wengine wana nyanyaswa na haki zao wakinyimwa?
 
LAKINI WENYEWE WANAJITAMBUA? NANI AWAPIGANIE KAMA SIO WENYEWE KWA KUSHIKAMANA. NA IFIRIE KWA MBALI TUCTA, IZIKWE!
Kati ya watu ambao wana uhuru wa kubadili upepo walikuwa wana siasa na kwa nafasi ndogo na watumishi lakin ndio hivyo hukawii kuokotwa ufukwen ukiwa.umefungwa mawe
 
Nasikia baadhi wameacha kazi sabb ya upuuzi na unyanyasaji wa serikali
 
Nasikia baadhi wameacha kazi sabb ya upuuzi na unyanyasaji wa serikali
kwakwelI watumishi wananyanyasika sana huku haki zao zinakaliwa ukiwasikia.wanavyo lalamika utawaonea huruma kabisa hawana aman wakati wote utadhan na wao ni vyama vya upinzani. KUWA MTUMISH WA SERIKALI HII NI SAWA NA KUWA MTUMWA TENA MTUMWA USIYE NA MTETEZI MAANA WANAPINDULIWA PINDULIWA KAMA MAANDAZI KWENYE KIKAANGO
 
Rushwa ikizidi unallmika mla lushwa akikamatwa kwako shida mashetani hata ukiyaabudu bado yatakusumbua tu hayana jema hii inchi ilikuwa imeoza mtu kaanza kuisafisha mwingine anaibuka nahoja zakijinga anatetea uozo kama unapenda uozo sukaishi dampo pumbv
 
Ulimbukeni wa madaraka unamsumbua sizonje eti anatengeneza Tanzania mpya ipi hiyo isiyozingatia utu na haki za wafanyakazi?? Yaani maskini ni hadi mawazo yake, miaka miwili ongezeko 8000 manyanyaso sasa!!
 
Rushwa ikizidi unallmika mla lushwa akikamatwa kwako shida mashetani hata ukiyaabudu bado yatakusumbua tu hayana jema hii inchi ilikuwa imeoza mtu kaanza kuisafisha mwingine anaibuka nahoja zakijinga anatetea uozo kama unapenda uozo sukaishi dampo pumbv
NI mpumbavu kichaa na asiye na elimu pekee ndiye atakaye amini nchi inasafishwa maana kama NI uozo sasa ndio.umekidhiri tena uozo Mkubwa kabisa kuwahi kutokea ingawa uozo wa sasa unafanywa kule juu kabisa ila wasomi pekee na weue akili.timamu ndio wanauona wewe mgumbaru zidhani kama utaona chochote.
 
Ulimbukeni wa madaraka unamsumbua sizonje eti anatengeneza Tanzania mpya ipi hiyo isiyozingatia utu na haki za wafanyakazi?? Yaani maskini ni hadi mawazo yake, miaka miwili ongezeko 8000 manyanyaso sasa!!
hii sasa imevuka mipaka ya uvumilivu tangu 2016 January watumish mda wote wako stressed hawajawI kufanya Kazi kwa uhuru kila baada ya mwezi NI usumbufu tu tena usumbufu mwingine unaeaingiza gharama kubwa kweli kweli
 
Wanajiona pua zao zimeelekea juu nakwambia wamekula kiapo na siku moja watakuja tolea hesabu kwa mamba wanayofanya na bahati mbaya hesabu hizo zinaanzia hapa hapa chini ya jua...roho mbaya zimewajaa tu wamesahau cheo ni dhamana....sote ni wa Mungu
 
baadhi ya watumishi wa umma wanao lalamika na kupata wakati mgumu kipindi hiki ni wale wote amabao walikuwa wanawategemea "godfather" au walio bebwa !!! hao wapo wengi sana ktk Utumishi wa umma.
sasa ni wakati wa wanyonge wasio kuwa na ndugu wa kumbeba.

Majungu na fitina havina nafasi tena ktk awamu hii, awamu ya tano ni awamu ya wanyonge
 
baadhi ya watumishi wa umma wanao lalamika na kupata wakati mgumu kipindi hiki ni wale wote amabao walikuwa wanawategemea "godfather" au walio bebwa !!! hao wapo wengi sana ktk Utumishi wa umma.
sasa ni wakati wa wanyonge wasio kuwa na ndugu wa kumbeba.

Majungu na fitina havina nafasi tena ktk awamu hii, awamu ya tano ni awamu ya wanyonge
soma vizuri andiko usilete umalaya wako hapa, mtumishi kuto lipwa Pesa yake ya uhamisho na kutopewa Pesa yake ya likizo vina uhusiano.gani na.hicho cha kubebwa unacho dai wewe? au bado una mtindio wa ubongo hivyo kuelewa mada bado NI tatizo kwako?usichanganye hoja na ufuska wako.
 
Km wewe ni mtumishi wa umma basi acha kazi so kulia lia huko pumbavu
huo upumbavu uanze kwanza kukitoka wewe maana unao wa.kutosha ndio maana unaamini kwamba hata kama watu wana nyanyasika wasiseme nadhan. uko radhi kuingiliwa kinyume kisa tu hutaki kusema kuwa una nyanyasika f**k ua **s
 
Tangu serikali hii imeingia madarakani haijawahi tokea watumishi wa umma wakafanya Kazi kwa uhuru hata siku moja tangu mh. huyu aunde serikali yake utadhan aliapa kupambana na watumishi wa umma maana kumekuwa na usumbufu usio koma kwa watumishi kitu ambacho kinarudisha nyuma hari ya utendaji na kukatisha tamaa kabisa,

Imekuwa kama kukomoa watumishi sijui kosa Lao ni lipi maana badala ya watumishi kuifurahia Elimu Yao eanaijutia Elimu Yao na wanajuta kuwa warumish chini ya serikali hii

Watumishi hawakai wakatulia wakajenga maisha Yao kila Mara uatasikia Hilo Mara lile ili mradi tu wasumbuke mfano

1 . Liloanza la watumishi hewa
2. Likaja la vyeti feki hili likafyeka hadi haki zao za kiutumishi na likadumu kwa zaid ya mwaka
3. Likaja la kuhamisha watumishi idara mbalimbali afya Elimu nk ambao hadi Leo hawajalipwa stahiki zao
4. Limekuja Hilo tena kuhamisha watumushi idara mbalimbali wakutoka Dar kwenda Dodoma wa kutoka hosptali za rufaa kwenda za mikoa na wilaya na sasa wakutoka sekondari kwenda primary pamoja na hayo yote wengi wa walio hamishwa hawajalipwa stahiki zao reshuffle iliyo fanyika mwaka Jana kwa watumish halmashauri nyingi hawajalipwa hadi sasa na bado hao hao tena wana hamishwa tena

Hivi serikali hii na wenye mamlaka mnazingatia kweli haki na utu wa watu hawa au kwa vile nivyi mna mamlaka basi hamna haja ya kujua maumivu ya wengine?

Maana haya sasa ni manyanyaso yaliyo vuka mipaka kipindi cha.uhakiki watu walitumia Pesa hadi za mikopo wana lala guest na vijimishahara vyennyewe ndio hivyo kidogo lakin ealivumilia serikali itimize azma yake lakin bado serikali haichoki kuwa sakama kila uchwao

Vitisho kila siku maneno ya hovyo wanatamkiwa wao haki zao wana nyimwa hawana uhuru wa kufanya Kazi kwa furaha. haki zao ndio hizo tena kwa miaka miwili wanaongezewa elfu nane. lakin masimango hayaishi kutwa kutishwa na kunyanyaswa na wateţndaji wawilaya, wakurugezi,wakuu wa wilaya na mikoa bila huruma

Analazimishwa kufanya Kazi kwa weledi wakati huo haki zake hapewi

Serikali mnaweza jiona mko sahihi kwa sababu ninyi hamapati shida yeyote wala maumivu yeyote lakin mnacho kifanya kwa watumishi wa umma ambao kimantinki ndio wasaidizi wenu kiuttendaji ngazi ya local government kwakwelI NI UNYANYASAJI MKUBWA NA UONEVU MKUBWA

Muwe na utu walau kidogo haya mnayo wafanyia watumishi mkifanyiwa ninyi mngekuwa na amani kabisa mioyoni mwenu? pamoja nasema uzalendo ni uzalendo gani ambao mnauhubiri huku wengine wana nyanyaswa na haki zao wakinyimwa?
Mtaongea sana mwaka huu.
 
huo upumbavu uanze kwanza kukitoka wewe maana unao wa.kutosha ndio maana unaamini kwamba hata kama watu wana nyanyasika wasiseme nadhan. uko radhi kuingiliwa kinyume kisa tu hutaki kusema kuwa una nyanyasika f**k ua **s
Acha kazi watu wapate kazi acha matusi.. Utafachaje kazi wakati unanyanyasika.. Kweli wewe ni shimo la choo
 
huo upumbavu uanze kwanza kukitoka wewe maana unao wa.kutosha ndio maana unaamini kwamba hata kama watu wana nyanyasika wasiseme nadhan. uko radhi kuingiliwa kinyume kisa tu hutaki kusema kuwa una nyanyasika f**k ua **s
Me siwezi fanya kazi serikalini miaka mia
 
Back
Top Bottom