Darren2019
JF-Expert Member
- Nov 23, 2019
- 1,112
- 2,379
Tangu saa 3 hadi sasa saa 7 na nusu ni salamu tu, ndo nini hiki???
Kutesana njaa sasa.
Kutesana njaa sasa.
TeuziMawaziri, wabunge na wote wanaosimama kwenye mkutano wa rais na vijana wanazungumza porojo za kumsifia mama SSH tu.
Ni kupoteza nauli na muda bureKuna ujinga mwingi unafanyika! mpaka unatamani Mkoloni arudi asee hakuna jipya
Mataga wamefurikwa na sabuni ya OMOThread imejaa povu na stress..
Una uhakika hauumwi weye mbuzi?KWANI MBOWE ANASEMAJE? MZEE WA KUPIGA RUZUKU BABA MDEE
Grow up, idiot. Mkutano ni wa Mama Samia na "vijana." Suala la Mbowe linatoka wapi? 😡KWANI MBOWE ANASEMAJE? MZEE WA KUPIGA RUZUKU BABA MDEE
Mwanajumuiya upo?Jumamosi hii msalaba upo kwako.Andaa bakuli safi la sadaka.😂😂😂😂Mataga wamefurikwa na sabuni ya OMO
Hahahaah dah.. menchekesha sana wewe binadamu...Mwanajumuiya upo?Jumamosi hii msalaba upo kwako.Andaa bakuli safi la sadaka.😂😂😂😂
HahahahaHadi sasa wabunge na wanaendelea kudemka.
Mama bado.
Hiiiiii bagosha!
Hizo protoko tunazijua na hatuna shida nazo, point hapa ni mkutano ulikuwa kati ya vijana na rais ndio wangepaswa kuongea kwa muda mrefu na sio kama ilivyo-sasa, hapo rais akiongea ndo mkutano unaisha hvy bila kijana yeyote kuongea.Izo ni protoko na lazima protoko ziwepo mahali popote anapokuwa raisi
Thread imejaa povu na stress..
Hapana sitegemei jipyaVipi unafuatilia mkutano wa Rais na vijana huko Mwanza ?
Vijana mtaishia KUTUMIKA tu
Nahisi pia watoa povu walichokiona ni tofauti na matarajio yao.Hapana sitegemei jipya
Katika taarifa zilizotolewa na viongozi mbalimbali was serikali kuwa Mhe Rais ataongea na vijana.
Cha ajabu tangu saa 3 Asubuhi hadi sasa saa 6:25 ni taarifa za Wakuu wa mikoa wa kanda na taarifa za Mawaziri na HOYE NYINGI.
Mbona tukio linakinzana na uhalisia wa RAIS KUONGEA NA VIJANA.
4hrs ni taarifa tu,uhalisia wa tukio umepotea
Na Chaggadomo je ?Hapa kijijini kwetu mtu akionekana amevaa manguo ya CCM anaweza kipigwa mande!😂😂😂