Raisi wa nchi yeyote anapimwa kwa Uchumi na Ajira
Tangu 2015 mpaka 2017..kuna graduates wangapi wameajiriwa Rasmi katika sekta binafsi na serikali?
Wizara ya Kazi - Inayo DATABASE kuhusu hizi taarifa?
Je, Kuna graduates (College and Varsity) wangapi wako bila Ajira Nchini Tanzania?
Ndio hilo tu.
Najua Sera ya Viwanda imeajiri wengi....Ila nataka taarifa sahihi ndio nitoe Pongezi
Tangu 2015 mpaka 2017..kuna graduates wangapi wameajiriwa Rasmi katika sekta binafsi na serikali?
Wizara ya Kazi - Inayo DATABASE kuhusu hizi taarifa?
Je, Kuna graduates (College and Varsity) wangapi wako bila Ajira Nchini Tanzania?
Ndio hilo tu.
Najua Sera ya Viwanda imeajiri wengi....Ila nataka taarifa sahihi ndio nitoe Pongezi