- Thread starter
- #41
Mkuu takwimu kama hizi Serikali haiziweki maana wanajua wataumbuka kwa kuonyesha jinsi graduates kwa asilimia kubwa zaidi ya 75% wanasaga lami mtaani na tamko la Serikali ni msingoje kuajiriwa MJIAJIRI!!! Utajiajiri vipi wakati unatoka familia ya kimaskini huna mtaji hata wa elfu 50. Cha kushangaza wao wenye uwezo wa kuwapa watoto mitaji mikubwa ya kuweza kujiajiri wanawaingiza watoto wao kinyemela TRA, BoT na Mawizara mbali mbali. Mniache niinyooshe nchi!! Seriously!? 😱😱😱
Kweli Mkuu
Pia Licha ya graduate fresh....Hata mfanyakazi kujiajiri ni ngumu
FAO LA KUJITOA au Mikopo ya hii mifuko hawatoi kwa wanachama wake...Je kujiajiri kutawezekanaje?