Ni kweli kabisa wakuu. Magamba wamepania kuchafua amani ya nchi kwa visingizio mbalimbali. Kwani hao wengine hawakuona umuhimu wa kukutana na JK? Ina maana kuwa Ccm ndiyo wasemaji wao? Aibu kwa magambaNimepita kwenye wall ya zitto amesema kuwa CHADEMA Ndo walioomba wakutane na mkuu wa nchi kama kuna vyama vingne navyo viombe kujadili mustakabali wa katiba,na si ccm kuwasemea hao wengine
Zitto yuko sahihi. Hoja ya kuonana na rais ni ya cdm siyo ccm. Kama ccm wanataka vyama vikutane na rais basi nao wamwombe afanye hivyo wakati mwingine.
Nimepita kwenye wall ya zitto amesema kuwa CHADEMA Ndo walioomba wakutane na mkuu wa nchi kama kuna vyama vingne navyo viombe kujadili mustakabali wa katiba,na si ccm kuwasemea hao wengine
Nimeamini CHADEMA Ni UBINAFSI MTUPU!
Nimeamini CHADEMA Ni UBINAFSI MTUPU!