yupo sumbawanga au wapi....niagizie niwahi mara moja....kuna hitaji langu hapo
sumbawanga lakini pia huwa anafanya private sessions mtafute ingawa ka nahisi nafahamu hitaji lako hapo
Usihofie umbali,nenda tu maana nauli ya kurudi hutaihitaji,akishakutatulia shida yako atakuchorea viduara saba ardhini usiku wa manane,kazi yako itakuwa kukanyaga viduara hivyo ukifika cha sita unamuaga na kukanyaga cha saba unajikuta mlangoni kwako Yaeda Chini.Hahahahaa..
yaani nimekumiss kuliko ban ya invizibo? haujambo laaziz?teh teh.....ni lipi umehisi?
Shosti kama ni dawa ya mapenzi lzm akulambe tena peku , mara mimba mara kabinti ka mganga haaaaalooooooh jamani mambonisindikize basi mpenzi....naogopa mganga asije akaniambia mambo yake ya tabia mbaya
yaani nimekumiss kuliko ban ya invizibo? haujambo laaziz?
Kumtuliza mpenzi? si umwache tu!yupo sumbawanga au wapi....niagizie niwahi mara moja....kuna hitaji langu hapo
cheo kazini! l.o.l
hakyanani nilikuwa taabani , baada ya kuona post yako ndo nimeanza kujiskia afazali.sijambo wa ubani.......mzima weye
Preta nakupa tahadhari mapemaaaaa! hawa waganga wa siku hizi wanaweka dawa kwenye class mamalia yako kwa kutumia baolojia yake.......anaipaka dawa baolojia, then anakwambia leta class mamalia niingize hii dawa.:smile-big:
Kumtuliza mpenzi? si umwache tu!
hahahahahaaa!!!Hitaji hitaji mimi ogopa sema hapa mwenyewe yupo????
lane:lane: