mara ya mwisho tulikutana nao sinza kumekucha
kadi feki
Biashara jioni kama humjui mtu kiundani mnge deposit hela kama kishkio alafu kesho baada ya ku confirm kadi tra m namaliza na.ndio,tulifanya jion
Dah pole sana mkuu,wala si ya kucheka yaani ukipoteza umakini kidogo tu kwenye ununuzi wa gari za mkononi umeumia,wanachofanya kabla ya kukutapeli wanatafuta your point of weakness wakishaigundua inakua rahisi sana kutekeleza azma yao.
Yupi huyo anayeonekana vizuri maana wa mwanzo picha hajageukahuyu jamaa nnavohisi anaishi kinondoni au sinza madukani
Gulf Streamer nimeshachukua izo hatua lkn cha kusikitisha ni kwamba hata middle man hajui nyumbani wala kazin kwake