mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 95,713
- 136,353
Ngoja ni ku pmhuyo alogeuka ndo alijifanya mwenye gar na huyo wa pili ndiye aliyeleta gari tukaikagua
Ngoja ni ku pmhuyo alogeuka ndo alijifanya mwenye gar na huyo wa pili ndiye aliyeleta gari tukaikagua
Umezunguka vijiwe vya kuuza magari hyo Hugo clemen muulizie
yan we acha tuu! cjui kama kuna kitu cjafanya huu n mwez wa 3 sasa nawasaka! no wamebadili ila mmojawao anapatikana,hapa nlipo cna hata hamu,nimechoka mana kila sehemu unapogusa lazma uache fungu na mafanikio 0,natamani kulitia kiberiti hili gar
Hahaha mkuuMbona matapeli wenyewe wapo kama mashosti??? Nimejawa na tamaa,ukiwakamata nipm
nimejifunza sana,ila yote haya yaliletwa na middle man