ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,758
- 9,589
Hay marafiki
NI MANENO YA HUZUNI KWANGU
"ACHENI TU JAMANI YASIWATOKEE NA NYIE
KATIKA NDOA ZENU. MWENZENU NIMESHINDWA SASA"
Nimeona sio vyema kuwahabarisha jambo hili ambalo kwangu linanipa
simanzi, huzuni, na furaha kuondoka kwangu sina jinsi ila ni maamuzi
yangu binafsi, kwani karaha, vituko, vitimbwi, visanga, majanga
yamenitosha sasa mpaka nalala sebuleni jamani kisa NDOA.
Imefikia hatua hata anawaleta home hao wanawake wake kisa kunikoga,
nasema marafiki zangu uvumilivu umenishinda mie, kwani takribani
malongo 4 sasa na tuna mtoto
Huyu ana miaka 3
lakini mwenzangu wala hatulii tumlee mtoto wetu ambaye ni mbichi
na ni kinda letu. Imenibidi niende USTAWI WA JAMII kwa ajili ya madai
ya mtoto wetu huyu na kisha niende Mahakamani kwa ajili ya fomu ya
TALAKA kwani nimeshashindwa na hii NDOA ambayo kwangu ni mateso
na ni unyanyasaji wa kijinsia. Mentor amekuwa haeleweki kabisa sijui nini
kimemfanya awe hivyo, ule upendo wake wa kwanza kwangu umetoweka km
sisimizi, sijui nilichomkosea kwake mpaka afanye hivi. Marafiki zangu mwenzenu
sasa nasema basi, naomba mnishauri nifanye nini ila moyo sasa usharudi nyuma.
NIFANYE NINI?
CC: Mamndenyi, Kipaji Halisi, Bujibuji, watu8, Mtambuzi, Paloma, sosoliso, Nicas Mtei, stevoh, Lady doctor, charminglady, Filipo, Erickb52, Bishanga, The secretary, Jiwe Linaloishi, Smile, kabanga, Heaven on earth, AshaDii, Passion Lady, Ruttashobolwa, amu, KakaKiiza figganigga na marafiki zangu wote
NI MANENO YA HUZUNI KWANGU
"ACHENI TU JAMANI YASIWATOKEE NA NYIE
KATIKA NDOA ZENU. MWENZENU NIMESHINDWA SASA"
Nimeona sio vyema kuwahabarisha jambo hili ambalo kwangu linanipa
simanzi, huzuni, na furaha kuondoka kwangu sina jinsi ila ni maamuzi
yangu binafsi, kwani karaha, vituko, vitimbwi, visanga, majanga
yamenitosha sasa mpaka nalala sebuleni jamani kisa NDOA.
Imefikia hatua hata anawaleta home hao wanawake wake kisa kunikoga,
nasema marafiki zangu uvumilivu umenishinda mie, kwani takribani
malongo 4 sasa na tuna mtoto
Huyu ana miaka 3lakini mwenzangu wala hatulii tumlee mtoto wetu ambaye ni mbichi
na ni kinda letu. Imenibidi niende USTAWI WA JAMII kwa ajili ya madai
ya mtoto wetu huyu na kisha niende Mahakamani kwa ajili ya fomu ya
TALAKA kwani nimeshashindwa na hii NDOA ambayo kwangu ni mateso
na ni unyanyasaji wa kijinsia. Mentor amekuwa haeleweki kabisa sijui nini
kimemfanya awe hivyo, ule upendo wake wa kwanza kwangu umetoweka km
sisimizi, sijui nilichomkosea kwake mpaka afanye hivi. Marafiki zangu mwenzenu
sasa nasema basi, naomba mnishauri nifanye nini ila moyo sasa usharudi nyuma.
NIFANYE NINI?
CC: Mamndenyi, Kipaji Halisi, Bujibuji, watu8, Mtambuzi, Paloma, sosoliso, Nicas Mtei, stevoh, Lady doctor, charminglady, Filipo, Erickb52, Bishanga, The secretary, Jiwe Linaloishi, Smile, kabanga, Heaven on earth, AshaDii, Passion Lady, Ruttashobolwa, amu, KakaKiiza figganigga na marafiki zangu wote
Last edited by a moderator: