Governor of Bettors-GB
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 10,734
- 9,915
Mwenzangu ebu nigaie japo elfu 3..
Hahahah,
Na Leo Wife wamemgawia 11,000 ,na Pia Sister wangu kagaiwa pia 11,000
Dogo wangu mmoja wa kiume yeye kapewa 700
Nikagundua inategema na matumizi yako ya Tigo Pesa,na wenye kupata gawio Kubwa ni wale wenye kuweka mwanzo na sio wanaorushiwa.
So,far home familiy tunaoshi hapa ikiwemo mie,sister na wife,Tigo imetugawia Tsh:27,000 in total kwa sie watatu,huyo wa mia saba hana issue.
Nasema Nashkuru sana TIGO kwa hilo,Mungu awajaalie na Mbarikiwe.
Mungu humpenda na kumuongezea anaeshkuru hata kwa kidogo.Tsh:27,000 ndani ya familia in one day sio mchezo.