Tangazo la Wekeza la Tigo

Tangazo la Wekeza la Tigo

nyamchele

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2014
Posts
1,325
Reaction score
1,038
Very innovative work and sexy....voda na airtel jibuni mapigo.
 
Last edited by a moderator:
wekeza ni promo ya kushare profit ya tigo na wateja wake, kwa hio average kwa kile unachokiweka ktk account yako ndio unapewa
baada ya hapo watapiga average tena baadaya miezi mitatu na kupewa tena
Tuma neno WEKEZA kwenda 15514
 
m-power ni benki; hii unapewa profit ya Tigo, je voda wanatoa hivyoooo
Uliza watu kibao, wamepata mahela kwa kuweka tuu,
Kama kitu ni kizuri unaiga na unakiimarisha zaidi
 
Nani kasema kuiga ni dhambi, ukiona jambo zuri si budi kuiga, ila wamebadili maantiki kabisaaaaaa, ndio ushindani huo
 
Sijaelewa somo yaan niweke pesa tigo pesa halaf napata faida??
 
wekeza ni promo ya
kushare profit ya tigo na wateja wake, kwa hio average kwa kile
unachokiweka ktk account yako ndio unapewa
baada ya hapo watapiga average tena baadaya miezi mitatu na kupewa tena
Tuma neno WEKEZA kwenda 15514
Naomba nielewe kidogo, mfano ukiwekeza laki moja,roughfly gawio ni shs ngapi na unapata baada ya muda gani.......
 
Very innovative work and sexy....voda na airtel jibuni mapigo.

Ni kweli nyamchele, tangazo liko sexy sana, hasa huyo mdada mmoja mwenye shanga nyeupe shingoni anavyotingisha kichwa na kurembua anapoambiwa 'wekeza!'Nikimtazama huyo dada mawazo yangu husafiri masafa marefu mno.Ninavyolipenda hilo tangazo!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom