Tangazo la ndoa

Kujua idadi yao, Rozari au Tasbih ni lazima vihusike!
Nway Shem mambo?
Nisalimie Loya.
heheheee!!shem umetisha lol
mie sijambo shem wangu,loya
mi mwenyewe namtafuta,kapotea njia ya kurudi home!!
salam kwa @ynna!!
 

halafu mwambie matron wakujitolea nipo
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Mmh naona leo mmeamua kuoa ngoja na mimi nitangaze ndoa!
Ila huyo mkeo mtarajiwa mbona kama ni mke wa mtu au namfananisha?

Jamani mbona mwaniharibia tena Lady doctor?

mtz one wewe utakuwa mume wa ngapi + washika pembe?

............:shock::shock::shock:.........


Dah!!!!!!!!!
Haya Bhana!!!!!! saudari, niharibie tu.

Hivi kumbe mtz one ni mwanaume lol
Haya oaneni

Ni mwanaume tena Rijari.

hivi unamjua Ben Saanane? halafu nani kakwambia Madame B anaolewa yeye ni pesa yako unajilia halafu unalala mbele

Acha wenge nitonye, we mwenyewe unanitaka.

jiulize kwanza mko wangapi?

Tuko 8 tu Shoga,.......Mitala tamu.


Dada ladyfurahia, hata nawe waiponga ndoa yangu?

Hahaha kuna kitu alinifanyia sitamsahau

.................:A S kiss::A S kiss::A S kiss::A S kiss::A S kiss:..........

akiupindisha huo mstari sijui itakuaje

Hahahaahaaaa............. Tutaenda sawa tu, Mpaka kieleweke Shoga.

Haha baada ya ndoa ntakuwa na nguvu ya kukamata binduki

Bunduki ipi sasa, Original or Fake?

Wee npo tayari kumpa chochote nilichonacho sema mumy Madame B unataka nn?




idadi inaongezeka
hivi wamefika wangapi sasa hivi!!
maskini Ben Saanane, Chimbuvu tedo, Chilli, @........, @...........
@.........., @..............!!!!!!ndoa mseto


Mke mwenza X, mume nimekuachia lakini bado wanitakiani,..... Mweeee
Ntamrudisha my X kwangu.

madam b yupi?
Madame B mimi hapa,........
Utakuwa matron wangu siku ya harusi yangu Smile.

Nina pingamizi... Mwanamke ni mkubwa kuliko mwanaume

.....Una kadi langu la Clinic Ngalikihinja?
au nawe wanivizia?

Ukisikia ndoto za alfulela ulela ndo hizi!

..........Ndo ushanikosa hivoooooooooo.

Nshapendwa mwenzio full kupagatwa

Na wewe usijishaue,.........
Utaachika kabla hata hatujafunga ndoa mtz one.
 

madame B unataka ufungue danguro la wanaume?
 
Wakuu kwa mara ya kwanza napenda kutangaza ndoa kati ya mtz one na Madame B hivyo yeyote mwenye pingamizi la haki kwa ndoa hii ajitokeze nawasilisha

Umetoa wapi hayo mamlaka ya kutangaza ndoa hapa, je u mgeni hapa yerusalem?
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…