Kibirizi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 604
- 146
Kama kuna mtu yeyote ambaye ameona tangazo la mwaka huu 2011 kutoka wizara ya elimu na mafunzo kutangaza nafasi za wanaotaka kujiunga na masomo ya ualimu katika ualimu ngazi ya cheti katika vyuo mbali mbali vya ualimu naomba atufahamishe ili tuweze kutuma maombi.