Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,793
Mitaa ya pangani si unajua ni mitaa ya uji wa shanga
na Mirungi kwa wingi aise
Kule noma sana
Vitumbua, bagia ndo mitaa yake ile
we mkareeeee......
Mitaa ya pangani si unajua ni mitaa ya uji wa shanga
na Mirungi kwa wingi aise
Kule noma sana
Vitumbua, bagia ndo mitaa yake ile
ewaaaaa.....mianaume ya hivi huwa naishangaa sana.....sioni tatizo mimi kuclear bill na nini.....lakini basi mtu aonyeshe uanaume wake.....hivi huwa watu hawaoni aibu....
eti nyie wanaume.....kulipiwa kila siku bill na msichana wako huoni noma.....nawauliza......!!!!!!!
wako wapi hao mabint wanaolipia wanaume.... mbona mie nakamuliwa tu... eeeehhh!!!!
uko wapi wewe.....kukueleza walipo ni thread inayojitegemea......
TANZANIAN ASSOCIATION OF BOYFRIENDS
(NABS)
NOTIFICATION OF WARNING STRIKE!!
Dear Tanzanian girls, hope you saw what
Kim K. bought
for Kanye W. on his birthday?
Not a Singlet or Boxers.
She bought A LAMBOGHINI CAR worth $
750k. We are tired of taking boxers and
singlet as gifts.
Sometimes, we even receive socks.
We will hence commence a 3-day
warning strike
taking effect from tomorrow. ENOUGH IS ENOUGH!!
Sign.
Mtoto una hatari wewe!
Hivi kwa mujibu wa law act of 1978 cap No 309/65FR/01 unaweza kushtakiwa
kwa kosa la uchochezi. Unachochea pu*yeto sio? Na sabuni zikipotea
madukani nyie mtafulia nini?
Duu hizo ndo zangu mimi, hakyanani naona nimekukosa hivi hivi!.orait orait......sasa unakuta mwanaume ni first date halafu anaenda kuangalia matairi ya gari kama yana pancha......kudadadeki....unatupa kuleeeeeee.......hi hi....wapi Smile leo......
Duu hizo ndo zangu mimi, hakyanani naona nimekukosa hivi hivi!.
wewe nitalipa.....tena nakwambia kabisa kuwa kila kitu juu yangu leo.....
He he he...kama huwa unasikia ngekewa, basi ndo hizi. Aisee nambie wapi huko nizuke saa hii, natamani yule jamaa asiione hii kitu...hi hi hi!.wewe nitalipa.....tena nakwambia kabisa kuwa kila kitu juu yangu leo.....