peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,798
- 21,395
ilo tangazo la mwaka jana na lilishapita muda watu waliomba na hawajaitwa sababu ewura walitangaza bila kujua hawana mamlaka ya kuajiri kwa sasa ilikuaga zamani sasa ajira zote ni pablic service recrutment secretariat ndio wenye mamlakaWatanzania kuna tangazo la kazi EWURA.
Mwenye taarifa sahihi kuhusu ili tangazo tafadhali.
Limepitwa na wakati wakati hadi leo Hakuna aliyekuwa kwenye interview?Mkuuu uwe na tabia ya Kusoma vema Tangazo la kazi mstari kwa mstari neno kwa neno. Hilo tangazo la EWURA ulilotupia ni halisi lakini ni la Mwaka 2021 mwezi Agosti na hivyo lilishapitwa na Wakati. Ahsante
Wewe ni msemaji wa Ewura?ilo tangazo la mwaka jana na lilishapita muda watu waliomba na hawajaitwa sababu ewura walitangaza bila kujua hawana mamlaka ya kuajiri kwa sasa ilikuaga zamani sasa ajira zote ni pablic service recrutment secretariat ndio wenye mamlaka
Kitaaalam hilo Tangazo limekosewa maaana kwa Muundo wa Masharti ya Mtumishi wanayemhitaji Nafasi husika inapaswa kujazwa kwa UHAMISHO kwa maaana kwamba atoke Taasisi nyingine ya Umma kwenda hapo EWURA mtaani huezi pata mwenye hizo sifa kizembeLimepitwa na wakati wakati hadi leo Hakuna aliyekuwa kwenye interview?
Kama limekosewa Kwanini ewura hawaja toa tamko? Wanawaacha watanzania gizani Muda wote huo?Kitaaalam hilo Tangazo limekosewa maaana kwa Muundo wa Masharti ya Mtumishi wanayemhitaji Nafasi husika inapaswa kujazwa kwa UHAMISHO kwa maaana kwamba atoke Taasisi nyingine ya Umma kwenda hapo EWURA mtaani huezi pata mwenye hizo sifa kizembe
Subiri watatoa tamko mkuu.K
Kama limekosewa Kwanini ewura hawaja toa tamko? Wanawaacha watanzania gizani Muda wote huo?