ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,141
- 950
Japo nia ni kujaribu kuvuta wateja kununua ving'amuzi vya Star times, pengine ubunifu unahitajika katika kuandaa matangazo. Lile tangazo la Star Times linalorushwa na TBC-1 likimwonyesha Kanumba the Great na zawadi ya Kin'gamuzi kwa Kimwana wake kwa ajili ya xmas ni miongoni mwa matangazo ya Kibiashara ambayo uhariri wake ni wa hali ya chini sana..hakuna mwanaume timamu anaweza kufanya yale anayofanya Kanumba (kucheka cheka hovyo)...labda kama ile nafasi ingekuwa ya ze-comedy..
Wanangu leo wameniuliza sasa baba pale ndio nini??...hasa mbona yule kaka (Kanumba) anacheka cheka tu kila siku??..nikawaambia anatangaza ...Nimehisi tangazo lile haliwezi kushwawishi ununuzi wa King'amuzi hasa kwa watoto na watu wazima ambao kwa tafsiri yake ni kana kwamba wanaoguswa ni watu wa aina ile ya Kanumba Kanumba na kina dada wa sampuli ya yule aliye na Kanumba katika katangazo.
Hachana na lime ambalo Kanumba amevaa Jezi ya AC Milan:
[h=3]THE GREAT NDANI YA MWANZA NA STARTIMES....[/h]
Kila zawadi niliyoitoa ilinibidi nisaini
ilifika wakati wa kila shabiki wangu kupiga picha na mimi
Wakala maarufu wa startimes Mwanza nilimpa zawadi ya picha tuliyopiga pamoja Dar-Movenpink siku niliyosimikwa rasmi ubalozi.
Huyu mama toka matangazo yakitangaza kuwa Kanumba atakuepo viwanja hivyo toka asubuhi alikaa akinisubiri hata pale watu walipojaa na kumziba asinione pamoja ni mlemavu alipaza sauti akisema mwanangu kanumba naomba nikushike mkono nakuonaga katika tv,na hapo ilikuwa ni saa tisa maskini hajala ili anione tu,nami nilikatisha onesho hili na kuamuru aje mbele kufika kumbe ni mama mlemavu kaletwa na mwanae akimsukuma hakika huruma ilinijaa sana,mama aliongea akilia kuonesha upendo wake kwangu,nilimpatia zawadi toka Startimes lakini pia nilitoa pesa yangu na kumpa mama akale na mwanae,Nilimuuliza Mungu moyoni tizama mama huyu mwenye upendo wa dhati lakini ni mlemavu na asiye na uwezo mzuri kimaisha,vipi vijana wenzetu wenye afya nzuri lakini hawana upendo wala uzalendo kama huu,bali chuki,ugomvi,matusi na kupondana,Dunia hii kwa sasa inahitaji upendo na uzalendo kama huu wa huyu mama...ni maono yangu tu.
Mama akilia baada ya kupokea zawadi huku mwanae akimsukuma ktk baiskeli ya walemavu mara baada ya kuongea na mimi.
Dada huyu akipokea zawadi mara baada ya kuweza kuigiza kicheko changu na watu kumshangilia,sikujua kama mashabiki hufatilia hata jinsi mtu unavyocheka.
Wanangu leo wameniuliza sasa baba pale ndio nini??...hasa mbona yule kaka (Kanumba) anacheka cheka tu kila siku??..nikawaambia anatangaza ...Nimehisi tangazo lile haliwezi kushwawishi ununuzi wa King'amuzi hasa kwa watoto na watu wazima ambao kwa tafsiri yake ni kana kwamba wanaoguswa ni watu wa aina ile ya Kanumba Kanumba na kina dada wa sampuli ya yule aliye na Kanumba katika katangazo.
Hachana na lime ambalo Kanumba amevaa Jezi ya AC Milan:
[h=3]THE GREAT NDANI YA MWANZA NA STARTIMES....[/h]
Kila zawadi niliyoitoa ilinibidi nisaini
ilifika wakati wa kila shabiki wangu kupiga picha na mimi
Wakala maarufu wa startimes Mwanza nilimpa zawadi ya picha tuliyopiga pamoja Dar-Movenpink siku niliyosimikwa rasmi ubalozi.
Huyu mama toka matangazo yakitangaza kuwa Kanumba atakuepo viwanja hivyo toka asubuhi alikaa akinisubiri hata pale watu walipojaa na kumziba asinione pamoja ni mlemavu alipaza sauti akisema mwanangu kanumba naomba nikushike mkono nakuonaga katika tv,na hapo ilikuwa ni saa tisa maskini hajala ili anione tu,nami nilikatisha onesho hili na kuamuru aje mbele kufika kumbe ni mama mlemavu kaletwa na mwanae akimsukuma hakika huruma ilinijaa sana,mama aliongea akilia kuonesha upendo wake kwangu,nilimpatia zawadi toka Startimes lakini pia nilitoa pesa yangu na kumpa mama akale na mwanae,Nilimuuliza Mungu moyoni tizama mama huyu mwenye upendo wa dhati lakini ni mlemavu na asiye na uwezo mzuri kimaisha,vipi vijana wenzetu wenye afya nzuri lakini hawana upendo wala uzalendo kama huu,bali chuki,ugomvi,matusi na kupondana,Dunia hii kwa sasa inahitaji upendo na uzalendo kama huu wa huyu mama...ni maono yangu tu.
Mama akilia baada ya kupokea zawadi huku mwanae akimsukuma ktk baiskeli ya walemavu mara baada ya kuongea na mimi.
Dada huyu akipokea zawadi mara baada ya kuweza kuigiza kicheko changu na watu kumshangilia,sikujua kama mashabiki hufatilia hata jinsi mtu unavyocheka.