Tangazo la Jaymillions lina kasoro

Tangazo la Jaymillions lina kasoro

Pole kwahiyo mlikuwa mnaaminii weeeee vp matangazo mengine kama tgo joti anajijibu na kujiuliza mwenyewe
Hao tiGO ndo wahuni,eti "KUTOKA LINDI MPAKA SEMUNGE" wakati kutoka DSM to Lindi tigo unaipata kwa bahati na kuna maeneo hakuna,ukiwa Ruangwa mtandao mbovu intanet ndo usiulizie utachekwa,huko ni eateli tu,na ndo ambayo inapatikana njia nzima,so nao wanapotosha pia
 
Hao Voda ni waongo ni matapeli, mdogo wangu walimdanganya walimpigia cm kuwa alishinda miliono100 lkn hadi sasa wanamzungusha wanamdhalilisha tu police,mahakamani kisutu walimpeleka kwa ajili ya kuapa.Wanamdanganya kila siku akiwepo Zembwela ambaye ndiye balozi wao vodacom kwa ile promotion, lkn nimepanga hadi ikifika 25/04 tutaenda mahakamani,kwanza tutaanzia ktk vyombo vya habari,kwanza ushahidi wa kwanza upo ktk vyombo vya habari cos walimtangaza kuwa yeye ni mshindi wa pili wa vodacom tangu february, hadi hii leo ile card yake ya ATM hawataki kumkabidhi na wakati wao wenyewe walimwambia afungue account.
 
Poor market advertising skills......!
Not poor skills, they know what they are doing.
Ukiingiia market yoyote kabla ya kuwasiliana na wanunuzi/wateja unaangalia uelewa wao kwanza ni wa kiwango gani, hili ni tangazo kwa watu wenye uelewa mdogo na wa chini. Huwezi kupeleka tangazo kama hili ambapo majority of audience wana uelewa. Nadhani hata Kenya, Uganda au Rwanda haliwezi kupelekwa kwa sura hii.

 
Tcra wamelala hawajui walifanyalo,makampuni yanatumia mwanya huo kwanza sheria za matangazo haitakiwi aina moja ya bidhaa au huduma matangazo yao kufatana, hapa kwetu utaona muda huo huo tgo mara voda mara airtel.nchi zinzoongoza kwa matangazo mazuri dunian ya kwanza usa ikifuatiwa na sauzi afrika maprofesa wa matangazo wapo weengi huko.
 
Sh milioni mia kwa mwezi, milioni 10 kwa week. lakini kwenye matangazo wanasema kila siku,.. Most wanatangaza mshindi pale wanapopiga hesabu zao na kuona superprofit ndio wanatanga haioko well structured.. Hii ni aina nyingine ya ufisadi kabla ya uchaguzi mkuu..
 
Ukiacha hilo, matangazo mengine yanayo-boa ni yale ya MAGODORO. Hamna ubunifu.

Sijawahi kuona matangazo ya kijinga kama ya Qfl godoro Dodoma....huwa nabadili channel nikiyaona....pmbav kabisa shenz zao
 
Kwa mfano kuna wakati wanatangaza kuwa namba 0754.. ilishinda lakini kwa sababu hakutuma kuangalia kama ameshinda basi amekosa zawadi.; huu ni wizi mkubwa . Walipokuwa wanautambulisha huu mcheo walisema utuma sms JAY kwenda kwenye 15544 ujishindie Milioni 100. Baadaye ikaja geuka kwamba ukituma sms JAY kwenda 15544 ambayo ina gharama ni laima utume sms nyingine kuangalia kama umeshinda. Hii ya kuangalia kama umeshinda nayo ni gharama na hakuna mtu yuko tayari kuchea bahati nasibu ya utapeli mkubwa kiasi hiki.

TCRA naomba wafuatilie huu utapeli kwani kama mtu kashinda kwa nini asipewe awadi hadi afuatilie
 
Lugha ya kibiashara au fraudulent misrepresentation?
 
Ukweli ni kuwa hawa ni wezi, angalau hata hao yatosha wanaaminika
 
beibby godoro ulioleta sio kabisaaaa



HAPO HATA MUME WAKE HAJAINGIA NALO NDANI KASHAJUA HALINA CHAPA YA GODORO ALITKALO





USELESSSSS TANGAZO


Useless kabisa. Sijui hawana marketing strategists au niaje!! Yani katika matangazo ovyo lile ni numer uno.
 
Kwa hiyo umeacha kufanya kazi unasubiria jaymilions???
 
Back
Top Bottom