Magnificient
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 1,177
- 733
Huyu nayeeeee.... . Fuata maelekezo..... ..
Hivi wanasema kutolewa kila siku au kushindaniwa kila siku?
Wale wadada ile kazi imewashinda, wangekuja kwangu ningewapa kazi inayowafaa zaidi.Ni kweli ila haya ya Qfl godoro Dodoma yamezidi...hili tangazo lao jipya wamejaza wadada kibao wazuri ila wameshindwa kuwatumia bora hao wadada angepewa Katavi angewatumia vizuri
Ha ha ha haaah,,,,,napenda tu kuwaona.Hata we unaependa akina dada limekuboa? Basi linaboa ukweli
ni kufuru tu.
usanii usio na akili.