Afande,
Mining engineer atakuwa na majukumu gani ndani ya jeshi la polisi ?
Ndo kwanza inaanza mwaka huu, so cjajua xactly specific duty zao. But madoctor licha hushirikiana na other medical officers kwny kupima postmotam kugundua vyanzo na sababu za vifo kwny murder case. Nahisi hata hao mining engineer watakuwa kwny kitengo cha kuchunguza na kuidhinisha madini kudhibiti wizi na madini fake.
Mkuu mm ni nina shahada ya sayansi ya mazingira sijui nitapata majukumu gani endapo nikienda huko
Nasikia mnapatiwa na Bima ya afya kwa watu sita bure kabisa! Ni kweli au sound?
Hivi ni kweli...polisi anapata barua ya ajira baada ya miaka 12 tangu aanze kazi...!? hii miaka mingine anakuwa kibarua tu....!? Tafadhari tunaomba kupewa ukweli wa jambo hili...ili jumuiya ya watanzania iondolewe mawazo tata juu ya ajira za Polisi.
NCO's ( askari chini ya nyota moja) wanakua chini ya masharti ya mkataba mpaka miaka 12 lakini mnapokua maafisa(Nyota moja na kuendelea) mnaingizwa automatically permanent terms!!
Mkuu hebu nifafanulie askari chini ya nyota mkataba wao ni vp
Una-renew mkataba kila baada ya miaka mitatu mara nne...yaani hadi miaka 12. Kama afya hairuhusu au unahama secta ndo unaamua kurenew au kutorenew...kabla hujaenda likizo ndefu.
Mkuu hebu nifafanulie askari chini ya nyota mkataba wao ni vp
Una-renew mkataba kila baada ya miaka mitatu mara nne...yaani hadi miaka 12. Kama afya hairuhusu au unahama secta ndo unaamua kurenew au kutorenew...kabla hujaenda likizo ndefu.
Tunatumia provisional results...?
duh ngoja niend bana na marine engineering yng
Nashukuru kwa majbu mazur ambayo umekuwa unayatoa Sorry kaka Lugoje! Kati ya course walizoztaja sijaiona Sociology but kuna community development ambayo n similar na sociology vp naweza kutuma
MBA je?? Masters in business administration
Mkuu hebu nifafanulie askari chini ya nyota mkataba wao ni vp
Una-renew mkataba kila baada ya miaka mitatu mara nne...yaani hadi miaka 12. Kama afya hairuhusu au unahama secta ndo unaamua kurenew au kutorenew...kabla hujaenda likizo ndefu.
Vp kama askari anaumwa na at the same time anataka kuendelea na kazi na ugonjwa huo ameupata kutokana na shuguli za jeshi anaweza sitishiwa mkataba?
Sociology ipo wew ebu rudia kuangalia