Tangazo la Airtel linawakejeli wenzao TIGO

Tangazo la Airtel linawakejeli wenzao TIGO

Mkuu Tigo wezi sana na hakuna mtandao wa kihuni kama Tigo. Kwa kiasi kikubwa isingekuwa tigopesa ningekuwa nimetupilia mbali simcard Yao. Kwasasa ndo mtandao aghali kuliko yote TZ

Nakubaliana na ww mkuu, sasa hv tigo umekuwa mtandao wenye gharama kuliko yote, wakti mwanzo haukuwa hivyo.
 
watu wa biashara wana lugha zao ; kuhuau ushindani kuna neno wanasema ushindani wa kukatana koo; nadhani ndo mambo kama haya yanatokea wakati huo
 
attachment.php
 
mkuu naona hii thread yako kama ni simulizi ya unayoyaangalia kwenye TV sioni mantiki yake, ama unashtaki hapa JF, ama wewe ni agent wa airtel, au wewe umetumwa na TIgo, someka basi maana bado sijakusoma
 
Hakuna kosa walilofanya airtel ni matangazo tu ila ukweli yani unipe bajaji halafu nifurah si bora nyumba ya maana ya airtel yatosha.
 
Airtel ubunifu ziroo kabisa mfano mdogo waliona Vodacom iko juu wakampandia dau yule Dogo wa masoko wakamchukua kama haitoshi mwaka Jana wamemupandia dau rafiki yangu mbando aliekuwa tigo sasa yuko airtel kama umegundia mbinu zote za masoko za airtel ni copy za tigo ushindani hakuna wanaigana kutuibia wateja tuu basiiiiii!!!! Yule master planner wa airtel yuko kama sisiem hana jipya kabisaa nimetupa na laini Yao airtel shen******i kabisa Yaani hawawezi kuleta jipya kwenye ulimwengu wa tekinolojia ya mawasiliano bora kupiga simu naitumia tigo na huduma internet Vodacom wengine wangoje nikiwa eneo ambalo mitandao hiyo miwili haipo..
 
Hilo tangazo sijaliona, ila kama ni kweli liko hivyo basi Airtel wamekosa Ubunifu....
 
Hakuna kosa walilofanya airtel ni matangazo tu ila ukweli yani unipe bajaji halafu nifurah si bora nyumba ya maana ya airtel yatosha.

sasa kama alishinda bajaji na akaichukua, na sasa ameshinda nyumba kwa nini asibaki na vyote kuliko kuitupa iyo bajaji,chukua nyumba weka bajaji barabarani ifanye kazi.
itakuja kampuni nyingine utashinda nyumba yaghorofa tano na ndege,sijui utaikana iyo nyumbani yako

cha muhimu ni kuwa makini na aya makampuni ya simu,
 
Wewe STROKE nawe ni wale wale. Hapa linazungumziwa kosa la kukosa ubunifu. Haiwezekani Kampuni kubwa kama ile ikose watu wabunifu kwa ajili ya Matangazo.
 
Mimi huwa naona mameneja masoko wa makampuni ya voda na airtel ni vilaza, wana subiri tigo waanzishe kitu na wao ndio wanaiga. Hawana ubunifu.
 
Huyo aliyetupa funguo ya Bajaji kisa kapata nyumba ni Mburula namba moja,kwanini asingeenda na hiyo Bajaji mpaka kwenye hiyo nyumba aliyoshinda...
 
Probability ya kushinda bajaji ni kubwa kuliko kushinda nyumba
 
competition law hairuhusu hivo
unapotoa tangazo lako ktk media au yale ya ukutani na mabango huruhusiwe kumkashifu mwenzio kwa namna yoyote ile
itakayomjengea image mbaya katika jamii ili kumdumaza kibiashara na kiushindani
wanasheria wa TIGO kama wapo makini hii ndio sehemu ya kula fedha za airtel
wakafungue kesi mahakama kuu kanda ya biashara
sababu zipo nyingi mlizotaja na zingine
na wadai damage ya kutosha na other reliefs.
sheria za ushindani zipo na wanazielewa.
 
Kwani si makampuni yote yana watu wa marketing & advertisement ? ?? na wanalipa pesa ya kutakata kama vipi nawao "bwa bwa/goti " wazidishe ubunifu katika biashara coz mie ndo napata raha.

makampuni mengi huwa wanaoutsource kazi ya matangazo.
 
Back
Top Bottom