Tangazo la Airtel linawakejeli wenzao TIGO

Tangazo la Airtel linawakejeli wenzao TIGO

Nimeskia leo wamepiga tangazo la hakuna kukata unapotuma na kupokea pesa kwa eateli,ila haya makampun yanatufanya mazuzu tu kwa ktulia vijisent

Airtel ina nafuu sana uki-compare na mitandao mingine-Shida ni Hio airtel money tu, wameshindwa kuipa nguvu nchi nzima. Hakuna mawakalana ufanayaji kazi wake sio reliable sana.
 
Tigo wahuni sana usilogwe kununua kabang na Tigo pesa umeliwa usinunue pia bundle ya internet wezi sana mwezi huu natupilia laini lao Bora nitumia barua kwa mawasiliano hakuna wizi na Niwe mnacheki salio usiku huwa wanaiba Asbh unakuta umekatwa ukiuliza unaambiwq ulijiunga na huduma ya nanino sijui maajabu
 
competition law hairuhusu hivo
unapotoa tangazo lako ktk media au yale ya ukutani na mabango huruhusiwe kumkashifu mwenzio kwa namna yoyote ile
itakayomjengea image mbaya katika jamii ili kumdumaza kibiashara na kiushindani
wanasheria wa TIGO kama wapo makini hii ndio sehemu ya kula fedha za airtel
wakafungue kesi mahakama kuu kanda ya biashara
sababu zipo nyingi mlizotaja na zingine
na wadai damage ya kutosha na other reliefs.
sheria za ushindani zipo na wanazielewa.

Kitu gani kinachonyesha moja kwa moja kwamba katika lile tangazo mlengwa ni TiGo ? minadhani ni swala la mtazamo kwa sababu Tigo hana hatimiliki ya rangi (Blue, wala Bajaji) labda kama wangeonyesha Logo hapo Airtel wasingechomoka. Inawezekana ngome ya Tigo inatingishwa ndio maana watu wanaanza kulalamika kazi buti Airtel kama wanaweza waige bure bure ....Yatosha .
 
Airtel ubunifu ziroo kabisa mfano mdogo waliona Vodacom iko juu wakampandia dau yule Dogo wa masoko wakamchukua kama haitoshi mwaka Jana wamemupandia dau rafiki yangu mbando aliekuwa tigo sasa yuko airtel kama umegundia mbinu zote za masoko za airtel ni copy za tigo ushindani hakuna wanaigana kutuibia wateja tuu basiiiiii!!!! Yule master planner wa airtel yuko kama sisiem hana jipya kabisaa nimetupa na laini Yao airtel shen******i kabisa Yaani hawawezi kuleta jipya kwenye ulimwengu wa tekinolojia ya mawasiliano bora kupiga simu naitumia tigo na huduma internet Vodacom wengine wangoje nikiwa eneo ambalo mitandao hiyo miwili haipo..

We ni mpenzi wa soka la majuu! umewahi sikia jinsi club zinavyoweka madau ya juu ya kuwa pata wachezaji walio wazuri ? That is business mzee not charity hata hao wafanyakazi wa hayo makapuni usifikiri wanatafuta pride mle mshiko .

Ina maana wewe ungepandiwa dau ungegoma kwani unafanyakazi ili upate nini.
 
do u talk like a lawyer or a layman?
if so hatutaweza kuelewana
ground watakuwa nazo kama logo ya tigo ni rangi ya blue tofauti na aritel then wanaweza kujenga hoja
mahakama ikaamua basing on those grounds..
tafuta cases zinazohusiana na ushindani wa kibiashara utaelewa..
mfano kwa macho ya kawaida unaweza kudhani hii ni symbol ya kampuni moja..... M3 na m3?????

Kitu gani kinachonyesha moja kwa moja kwamba katika lile tangazo mlengwa ni TiGo ? minadhani ni swala la mtazamo kwa sababu Tigo hana hatimiliki ya rangi (Blue, wala Bajaji) labda kama wangeonyesha Logo hapo Airtel wasingechomoka. Inawezekana ngome ya Tigo inatingishwa ndio maana watu wanaanza kulalamika kazi buti Airtel kama wanaweza waige bure bure ....Yatosha .
 
Back
Top Bottom