mchemsho
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 3,212
- 867
Heshima kwenu wakuu.! Naomba tujikumbushe matangazo yaliyowahi kubamba sana hapa tz, pia yale ambayo yana utata tujadiliane kujua nini hasa ilikuwa 'idea' na ujumbe wa mtunzi. Lakini je yana ubunifu?? Tuanze na hili la tigo la baro na sharo nini hasa hawa jamaa wanakomunicate?