Buyaka
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 1,643
- 1,786
Watu wana balls za kutangaza wazi wazi biashara ya kuchakachua rekodi ya matumizi/uchakavu wa gari, odometer reading, ukisikia "lawlessness" kwenye nchi ndo hii... Kwenye nchi zingine kurudisha nyuma odometer ni booooonge la crime!
Sasa tuseme jeshi zima la polisi na law enforcement wote kwa ujumla hamna hata mmoja mwenye exposure ya kujua maana ya odometer reading ? Kwa nini hawa watu wasikamatwe? Tanzania ipo consumer protection bureau?