Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,237
HALMASHAURI YA MANISPAA YA ILALA
Mkurugenzi wa halmashauri anawatangazia wakazi wote wa manispaa na umma kwa ujumla kuwa:-
1).Ni kosa kuingiza gari zaidi ya tani 3.5 katikati ya jiji bila kibali
2).Ni kosa kujenga uzio bila kibali
3).Ni kosa kufanaya ujenzi bila kibali
4).Ni kosa kumwaga kokoto/mchanga na vifaa vya ujenzi kandikando ya barabara bila ya kibali
5).Ni kosa kubandika matangazo ya aina yoyote,kupitisha gari la matangazo bila kabali
6).Ni kosa kupiga musiki au kufanya sherehe/tamasha bila kibali
7).Ni kosa kutiririsha maji na kutupa takataka bila kibali
8).Ni kosa kukata/kuchimba barabara bila kibali
9).Ni kosa kuonyesha video mitaani
Adhabu kali zitatolewa kwa watakaokuka taratibu.
Imetolewana,
Mkurugenzi wa manispaa
Halmashauri ya manispaa ya Ilala.
Naona haya kama maandishi ya kawaida tu kwani kila mtu anafanya atakavyo na hakuna sheria/hatua zozote zinazo chukuliwa.
Mnasemaje wadau?
Mkurugenzi wa halmashauri anawatangazia wakazi wote wa manispaa na umma kwa ujumla kuwa:-
1).Ni kosa kuingiza gari zaidi ya tani 3.5 katikati ya jiji bila kibali
2).Ni kosa kujenga uzio bila kibali
3).Ni kosa kufanaya ujenzi bila kibali
4).Ni kosa kumwaga kokoto/mchanga na vifaa vya ujenzi kandikando ya barabara bila ya kibali
5).Ni kosa kubandika matangazo ya aina yoyote,kupitisha gari la matangazo bila kabali
6).Ni kosa kupiga musiki au kufanya sherehe/tamasha bila kibali
7).Ni kosa kutiririsha maji na kutupa takataka bila kibali
8).Ni kosa kukata/kuchimba barabara bila kibali
9).Ni kosa kuonyesha video mitaani
Adhabu kali zitatolewa kwa watakaokuka taratibu.
Imetolewana,
Mkurugenzi wa manispaa
Halmashauri ya manispaa ya Ilala.
Naona haya kama maandishi ya kawaida tu kwani kila mtu anafanya atakavyo na hakuna sheria/hatua zozote zinazo chukuliwa.
Mnasemaje wadau?