TANGAZO: "A March of a Million" kupinga malipo kwa DOWANS

Fareed

JF-Expert Member
Apr 13, 2010
328
135
Asalaam Aleykum,

Nadhani wote tunafuatilia jinsi People's Power kule Misri inavyofanikiwa sasa kuangusha utawala dhalimu wa Hosni Mubarak. Hii ni fundisho kwetu Tanzania na kwingineko kuwa nguvu ya umma kweli ni sauti ya Mungu na hakuna mitutu ya bunduki au vifaru vinavyoweza kuizuia.

Naomba kutoa pendekezo kupitia tangazo hili kuwa na sisi Tanzania sasa tuanzishe "a march of a million" kama ilivyofanyika Misri ili kupinga malipo kwa DOWANS. TUCTA wameanzisha maandamano yao, CUF wameanzisha ya kwao na CHADEMA wametangaza ya kwao. Si ajabu NGOs nao wakatangaza kuandamana. Tatizo ni kuwa maandamano hayo hayana coordination. Kila mtu anapanga tarehe yake kwa hisia yake. Maandamano kama haya yatakuwa fragmented na hatutaweza kupata impact inayokusudiwa.

Watawala wamefanikiwa sana kwenye falsafa ya "divide and rule" au "divide and conquer." Hivi sasa CUF/Chadema na NCCR ni maadui wao kwa wao. Wanakataa kushirikiana na wanachukiana kwa nguvu zote. Haya ni matunda ya kazi ya watawala na wala wapinzani wenyewe hawajui wanaendeleza tu chuki against each other. Hakika, watawala wamefanikiwa kuwa divide na kuwa conquer vyama vya wapinzani. Jambo la kusikitisha ni kuwa hata wao wenyewe hawajui hili.

Lengo ni kuunganisha nguvu zote tuweke tofauti za CUF/Chadema/NCCR pembeni ili tuwe na maandamano ya pamoja makubwa kama ya Misri kupinga malipo kwa DOWANS. Tunahitaji kushirikisha Watanzania wote wakiwemo wanafunzi, wafanyakazi, NGOs, wakulima, machinga, vyama vya siasa ili watu milioni 1 waingie mtaani kupinga DOWANS ili tuwape onyo watawala kuwa Watanzania sasa tunasema ufisadi BASI!

Naomba maoni/michango yenu ya jinsi ya kufanikisha suala hili haraka iwezekanavyo ili tuwe na "A March of a Million" mwezi huu wa Februari kuleta ukombozi dhidi ya ufisadi hapa nchini.
 
Naunga mkono wazo hili. Kuna haja ya kuandaa maandamano makubwa sana ya kitaifa kupinga kulipwa DOWANS. Ni lazima nguvu ya umma ionekane hadharani, muda umefika sasa Tanzania!
 
Kama nilivyoshasema kwenye Topic nyingine jambo linaweza likawa coordinated nchi nzima hata tusipoandamana lakini likavuta attention kubwa mfano nilisema tunaweza tukavaa vitambaa vyeusi kuomboleza nchi nzima wiki nzima yaani wafanyakazi, machinga, wanachuo na wananchi katika sehemu tofauti..., kuonyesha kwamba tumechoka na maisha hii itasaidia hata wale ambao hawatuungi mkono wakiwa mjini madukani wenzao kuwashangaa kwamba sio wenzetu... tena hivi vitambaa vinaweza vikawa printed vizuri hadi vikawa a fashion Icon.. Mfano Slogan Kama " CCM you are killing US" au "Elimu na Afya ya Bure ndio tunataka, Sio Ufisadi" vinaweza vikawa printed vizuri na watu wakafunga kwenye mabega
 
Mods kuna thread kama hii ya Paka Jimmy tukiziunganisha nadhani tutapata mawazo zaidi...., Remember an online Community is more than ONLINE COMMUNITY
 
Kama nilivyoshasema kwenye Topic nyingine jambo linaweza likawa coordinated nchi nzima hata tusipoandamana lakini likavuta attention kubwa mfano nilisema tunaweza tukavaa vitambaa vyeusi kuomboleza nchi nzima wiki nzima yaani wafanyakazi, machinga, wanachuo na wananchi katika sehemu tofauti..., kuonyesha kwamba tumechoka na maisha hii itasaidia hata wale ambao hawatuungi mkono wakiwa mjini madukani wenzao kuwashangaa kwamba sio wenzetu... tena hivi vitambaa vinaweza vikawa printed vizuri hadi vikawa a fashion Icon.. Mfano Slogan Kama " CCM you are killing US" au "Elimu na Afya ya Bure ndio tunataka, Sio Ufisadi" vinaweza vikawa printed vizuri na watu wakafunga kwenye mabega

Ahsante kwa ubunifu. Ni wazo zuri sana. Ingefaa sana kama hii ingefanyika siku ya 5 February au mnasemaje?
 
ahsante kwa ubunifu. Ni wazo zuri sana. Ingefaa sana kama hii ingefanyika siku ya 5 february au mnasemaje?

people's power tupo pamoja na pamoja tunaweza. Mi nadhani issue isiwe dowans tuu, kama ni maandamano yawe ni kupinga serikali iliyojaa mafisadi. Ki ukweli na kizalendo ukiiangalia kamati kuu ya ccm yenye mjumbe ra, ambayo ndio inaongoza serikali hautasita kuamini kwamba imejaa uchakachuaji wa kifasidi ndio maana hawawezi kumnyonyeshea kidole ra. Sasa mimi naunga maandamano kupinga serikali iliyoshindwa kutatua kero za watanzania-maji, maslahi duni, nishati duni, kodi kubwa, malazi duni, mauaji ya raia arusha, mbeya, ufisadi dowans, kagoda, meremeta, kupanda bei ya bidhaa mfumuko wa bei. Tunisia wameifukuza serikali kwa sababu ya machinga na bei ya mkate
 
Asalaam Aleykum,

Nadhani wote tunafuatilia jinsi People's Power kule Misri inavyofanikiwa sasa kuangusha utawala dhalimu wa Hosni Mubarak. Hii ni fundisho kwetu Tanzania na kwingineko kuwa nguvu ya umma kweli ni sauti ya Mungu na hakuna mitutu ya bunduki au vifaru vinavyoweza kuizuia.

Naomba kutoa pendekezo kupitia tangazo hili kuwa na sisi Tanzania sasa tuanzishe "a march of a million" kama ilivyofanyika Misri ili kupinga malipo kwa DOWANS. TUCTA wameanzisha maandamano yao, CUF wameanzisha ya kwao na CHADEMA wametangaza ya kwao. Si ajabu NGOs nao wakatangaza kuandamana. Tatizo ni kuwa maandamano hayo hayana coordination. Kila mtu anapanga tarehe yake kwa hisia yake. Maandamano kama haya yatakuwa fragmented na hatutaweza kupata impact inayokusudiwa.

Watawala wamefanikiwa sana kwenye falsafa ya "divide and rule" au "divide and conquer." Hivi sasa CUF/Chadema na NCCR ni maadui wao kwa wao. Wanakataa kushirikiana na wanachukiana kwa nguvu zote. Haya ni matunda ya kazi ya watawala na wala wapinzani wenyewe hawajui wanaendeleza tu chuki against each other. Hakika, watawala wamefanikiwa kuwa divide na kuwa conquer vyama vya wapinzani. Jambo la kusikitisha ni kuwa hata wao wenyewe hawajui hili.

Lengo ni kuunganisha nguvu zote tuweke tofauti za CUF/Chadema/NCCR pembeni ili tuwe na maandamano ya pamoja makubwa kama ya Misri kupinga malipo kwa DOWANS. Tunahitaji kushirikisha Watanzania wote wakiwemo wanafunzi, wafanyakazi, NGOs, wakulima, machinga, vyama vya siasa ili watu milioni 1 waingie mtaani kupinga DOWANS ili tuwape onyo watawala kuwa Watanzania sasa tunasema ufisadi BASI!

Naomba maoni/michango yenu ya jinsi ya kufanikisha suala hili haraka iwezekanavyo ili tuwe na "A March of a Million" mwezi huu wa Februari kuleta ukombozi dhidi ya ufisadi hapa nchini.

Hiyo ni sawa mkuu.
Lakini unapozungumzia wapinzani kuwa wapinzani wao kwa wao hili sitaki kulizungumzia sana lakini tatizo kubwa hapo ni cuf.

Kuhusu maandamano mi nadhani kwa kuanzia ni hayo maandamano ya tarehe 5 february, tuanzie pale mnazi mmoja siku hiyo, then tutaendelea tena na tena kwani hata huko tunisia na misri hawakuanza na watu milioni moja bali walianza na wanaharakati wachache wengine waka-join kadri siku zilivyokuwa zinakwenda.

Nasema tena nasema risasi na mabomu hayawezi kuishinda nguvu ya umma.
 
Asalaam Aleykum,

Nadhani wote tunafuatilia jinsi People's Power kule Misri inavyofanikiwa sasa kuangusha utawala dhalimu wa Hosni Mubarak. Hii ni fundisho kwetu Tanzania na kwingineko kuwa nguvu ya umma kweli ni sauti ya Mungu na hakuna mitutu ya bunduki au vifaru vinavyoweza kuizuia.

Naomba kutoa pendekezo kupitia tangazo hili kuwa na sisi Tanzania sasa tuanzishe "a march of a million" kama ilivyofanyika Misri ili kupinga malipo kwa DOWANS. TUCTA wameanzisha maandamano yao, CUF wameanzisha ya kwao na CHADEMA wametangaza ya kwao. Si ajabu NGOs nao wakatangaza kuandamana. Tatizo ni kuwa maandamano hayo hayana coordination. Kila mtu anapanga tarehe yake kwa hisia yake. Maandamano kama haya yatakuwa fragmented na hatutaweza kupata impact inayokusudiwa.

Watawala wamefanikiwa sana kwenye falsafa ya "divide and rule" au "divide and conquer." Hivi sasa CUF/Chadema na NCCR ni maadui wao kwa wao. Wanakataa kushirikiana na wanachukiana kwa nguvu zote. Haya ni matunda ya kazi ya watawala na wala wapinzani wenyewe hawajui wanaendeleza tu chuki against each other. Hakika, watawala wamefanikiwa kuwa divide na kuwa conquer vyama vya wapinzani. Jambo la kusikitisha ni kuwa hata wao wenyewe hawajui hili.

Lengo ni kuunganisha nguvu zote tuweke tofauti za CUF/Chadema/NCCR pembeni ili tuwe na maandamano ya pamoja makubwa kama ya Misri kupinga malipo kwa DOWANS. Tunahitaji kushirikisha Watanzania wote wakiwemo wanafunzi, wafanyakazi, NGOs, wakulima, machinga, vyama vya siasa ili watu milioni 1 waingie mtaani kupinga DOWANS ili tuwape onyo watawala kuwa Watanzania sasa tunasema ufisadi BASI!

Naomba maoni/michango yenu ya jinsi ya kufanikisha suala hili haraka iwezekanavyo ili tuwe na "A March of a Million" mwezi huu wa Februari kuleta ukombozi dhidi ya ufisadi hapa nchini.

Tukajumuike kule Mwanza tarehe 24th Feb. Nawe anangalia usigawanywe.
 
Back
Top Bottom