Manndoza
Member
- Feb 25, 2019
- 8
- 4
Baadhi ya wafanyabiashara hasa wa tangawizi wamekuwa wakiuza viazi vinavyofanana na tangawizi na kuwauzia wateja wao. Viazi hivyo havina harufu yoyote wala ukali wa tangawizi.
TFDA fuatilieni suala hilo kabla halijaleta madhara katika jamii yetu, kwasababu ukiangalia kwa macho ya kawaida utadhani ni tangawizi halisi.
Inapatika kwa wingi ktk soko la Kariakoo kwenye Barbara yanayopaki daladala za Mabibo.
Sent using Jamii Forums mobile app
TFDA fuatilieni suala hilo kabla halijaleta madhara katika jamii yetu, kwasababu ukiangalia kwa macho ya kawaida utadhani ni tangawizi halisi.
Inapatika kwa wingi ktk soko la Kariakoo kwenye Barbara yanayopaki daladala za Mabibo.
Sent using Jamii Forums mobile app