Tanganyikanism tukutane hapa

Tanganyikanism tukutane hapa

Mama Tibaijuka anasema DP World ni washindani wetu sio Dubai Tu hata Zanzibar Ports Authority ni Mshindani Mkubwa na wa karibu kabisa Wa Tanzania Ports Authority kwa bandari za Tanganyika
Ndio maana kuna watu wengi lengo mzigo ni kuleta Tanganyika lakini wanashushia makontena Zanzibar kisha wanaleta kama Loose cargo huku Tanganyika kutumia majahazi kwa kutumia Smuggling practices kwenye bandari bubu

Pia Zanzibar wana lengo la kujenga bandari kubwa zaidi
Hivyo ni hatari sana kwa Wazanzibar kuamua hatima ya bandari shindani kwao Watanganyika
Ndio maana wanataka kuzitoa sadaka kwa wajomba zao waarabu wakati huo huo za Zanzibar zipo salama chini ya SMZ kwa maslahi mapana ya Wazanzibar peke yao daima dumu

NB
Tanganyika = Zanzibar
Tanzania Bara = Tanzania Visiwani

Kama kuna jina la Zanzibar mwenzie Tanganyika.
 
Zanzibari si wana serikali yao?, nasisi tuwe na yetu ambayo hakuna mzanzibari atakayeweka pua yake hapo, af ndio tuwe na serikali ya muungano mixer.

Tofaut na hapo kila mtu ale hamsin zake.
Iwe kama Africa Mashariki, muungano hata sina kabisa

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Upole na ukarimu wetu unatuponza,pili Kuna kundi linawabembeleza sana wanzazibari hasa CCM,yaani haiwezekani mm nisiwe na sauti nikienda Zanzibar,wanajisemea mambo ya Zanzibar tuwaachie wenyewe,wakijua Tanganyika wanatupanda Hadi vichwani mpaka wanajimilikisha ardhi,wanakula viongozi kwenye masuala yasio ya muungano hadi wanauza rasilimali za watanganyika.Watanganyika tutafakari tunarudi utumwani.
 
Mimi ni Mtanganyika, na Wazanzibar ni ndugu zangu!

Tanganyika yangu iko wapi?
 
Aisee mnatuchosha! Nchi yetu inaitwa Tanzania. Msidhani mkitengana kuna lolote bora litakalotokea. Wake up guys!

Mmeshindwa kupinga rushwa, ufisaidi, ukosefu wa uwajibikaji serikalini, utawala bora, mnakimbilia kuuvunja muungano? Shame on you!
Wapotezee, hawana kazi za kufanya hao!!
 
Ipo siku, nayo haipo mbali, Tanganyika itarejeshewa hadhi yake.
 
wewe mwenyewe si ajabu ni wa mipakani huko wazazi wako wamehamia tu miaka ya karibuni.
Hata kama ndivyo bado ana haki zote za Mtanganyika.

Mtanganyika ni Mtanganyika, iwe kwa kuzaliwa au kwa kuasiliwa.

Mtanganyika ni Mtanganyika, hata kama babu zake wapo kulee! Maadam ameuchagua Utanganyika, mwache ajivunie Utanganyika wake.

Mtanganyika ni Mtanganyika, muhimu awe amekubali kuwa Mtanganyika kama Watanganyika wenzake.

Kila Mtanganyika ana haki ya kujivunia Utanganyika wake.
 
Kuna haja ya kushambuliana mkuu?
hatushambuliani lakini tunaambiana ukweli tu. Baadhi yenu nyinyi munaojifanya watanganyika kwa saana kumbe ni watoto wa wahamiaji tu, na hasa wale walioko mipakani. Wao ndiyo wanajiona sana kuliko Wazanzibari ambao mumekomaa kuwasema ati wanajifanya waarabu.
 
Back
Top Bottom