Haingii akilini kuwa Tanganyika inafifia kwa kutumia Tanzania Bara
Historia ya nchi yetu ni Tanganyika, tangu karne 19 baada ya ukoloni siyo Tanzania Bara
Tunataka jina Tanzania Bara liondolewe kwenye misaafu iandikwe Tanzania Tanganyika kama Zanzibar walivyotupilia mbali Tanzania visiwani wakaanza kutumia Tanzania Zanzibar
Tunataka utanganyika wetu urudishwe kwenye vitabu vya shule na makabrashi ya serikali ,hatutaki Tanzania Bara tunataka Tanzania Tanganyika
Vizazi virithishwe Tanzania Tanganyika siyo Tanzania Bara, wajue original yao
Hii ya kutuita Tanzania Bara,Tanganyika yetu inapotea kimasihara
Historia yetu ,chimbuko letu ni Tanganyika, siyo Tanzania Bara, mbona Wazanzibar hawatumii Tanzania visiwani
Historia ya nchi yetu ni Tanganyika, tangu karne 19 baada ya ukoloni siyo Tanzania Bara
Tunataka jina Tanzania Bara liondolewe kwenye misaafu iandikwe Tanzania Tanganyika kama Zanzibar walivyotupilia mbali Tanzania visiwani wakaanza kutumia Tanzania Zanzibar
Tunataka utanganyika wetu urudishwe kwenye vitabu vya shule na makabrashi ya serikali ,hatutaki Tanzania Bara tunataka Tanzania Tanganyika
Vizazi virithishwe Tanzania Tanganyika siyo Tanzania Bara, wajue original yao
Hii ya kutuita Tanzania Bara,Tanganyika yetu inapotea kimasihara
Historia yetu ,chimbuko letu ni Tanganyika, siyo Tanzania Bara, mbona Wazanzibar hawatumii Tanzania visiwani