Tanganyika Law Society (TLS) ifutwe

Tanganyika Law Society (TLS) ifutwe

Raisi wa TLS yupo Hadi kwenye matangazo ya tone tone CHADEMA.

Pamoja na Haki ya kukosoa na kushauri, uongozi wa TLS haupaswi kuonyesha upande unaoegemea.
TLS kama chombo Cha kutetea Haki kitategemea kule ambako Haki inaonekana kuporwa. Na kuwakemea wanaopora.

Unadhani ni sahihi TLS Kukaa kimya kuona Haki ya mtu kuishi inachukuliwa na polisi Kwa maelekezo ya RC na rpc? Na RCO?
 
Akili za vijana wa sasa wa uvisisiemu kuuaua tu...
 
Ni kundi la uchochezi kushinda hata vyama vya siasa, hata usemaje wa wakuu wao hauna tofauti na watu wa chama kile, japo hujichekesha kuudanganya umma.

Mimi kama mimi naona hakina faida hata moja na kinawezekana kabisa kinatumika, mambo yao mengi wanayojidai wanayafuata huwa ni mikakati ya terehe za muda mrefu na kauli maarufu ...tunafuatilia...
Asante sana kwa kuifuta TLS, mfupa uliowashinda wengine wewe umeuweza.
 
Ni kundi la uchochezi kushinda hata vyama vya siasa, hata usemaje wa wakuu wao hauna tofauti na watu wa chama kile, japo hujichekesha kuudanganya umma.

Mimi kama mimi naona hakina faida hata moja na kinawezekana kabisa kinatumika, mambo yao mengi wanayojidai wanayafuata huwa ni mikakati ya terehe za muda mrefu na kauli maarufu ...tunafuatilia...
We ni kichaa.
 
Ni kundi la uchochezi kushinda hata vyama vya siasa, hata usemaje wa wakuu wao hauna tofauti na watu wa chama kile, japo hujichekesha kuudanganya umma.

Mimi kama mimi naona hakina faida hata moja na kinawezekana kabisa kinatumika, mambo yao mengi wanayojidai wanayafuata huwa ni mikakati ya terehe za muda mrefu na kauli maarufu ...tunafuatilia...
yaani imekua chama cha waropokaji na watu wa kubwekabweka tu :putinWalk:
 
Ni kundi la uchochezi kushinda hata vyama vya siasa, hata usemaje wa wakuu wao hauna tofauti na watu wa chama kile, japo hujichekesha kuudanganya umma.

Mimi kama mimi naona hakina faida hata moja na kinawezekana kabisa kinatumika, mambo yao mengi wanayojidai wanayafuata huwa ni mikakati ya terehe za muda mrefu na kauli maarufu ...tunafuatilia...
Mjinga wewe...!

Suluhu ya matatizo yenu haipatikani kwa kuua watu au kufuta taasisi zenye dissent opinions..

Suluhu ya matatizo yenu, ni KUTUBU na kuacha TABIA na MATENDO ya kishetani...!

Hebu jaribu kufikiri hili👇🏻

Kwamba, watawala wa dunia ya wakati ule walidhani kwa "KUMUUA" au "KUMFUTA" YESU KRISTO ingekuwa heri na nafuu yao. Je, ilikuwa..?

Basi, jifunzeni kwa mfano huo na muelewe...
 
Back
Top Bottom