Mnataga sana , Ni akina nani juzi hapa walisema mkuu wao amelamba asali ? Manyani wasioona minanihino yao ,nikiandika ujue nimefuatilia wacha mstari hata ,yaani siku hizi unamsoma mtu kutokana na action zake kuanzia uso hadi miguu kila kitu,weka mbali mamaneno inawezekana anakuvisha kilemba cha ukoka.
Sipo upande wa chama chochote. ila hufuatilia vyama vyote .vikiwemo hivi mnavyoviona leo hii vina maana badala ya nyinyi kuwamock kuwa wamelamba asali ,wamelamba dume.
Hii TLS inajiona ndio serikali bibilia quran vyote vimesema tuheshimu mamlaka asie heshimu kama ana uwezo apindue akinukishe .
Huko kwa kukinukisha wacha ,maana alitaka kuwaangamiza wananchi ,wanaokinukisha hawapigi makelele wala kutangaza mikutanoni , TLS wameshindwa kusema ukweli hata kisingizio jambo lipo MAHAKAMANI ,
Je kabla ya hapo waliwahi kumkanya Lisu kuhusiano na kauli yake kuipindua Serikali Ya Jamhuri ya Tanzania .
Badala ya kutafuta njia za kumuombea Lisu msamaha mnataka kumuangamiza mkijua kuwa hatoki. Ibakie hatua Ya Raisi Samia tu kuzidi kuonyesha siasa si uadui ,lakini nyinyi waChadema ni maadui wakubwa sana wa Tundu Lisu ,leo hii Raisi akiamua kumuachia wengine mnaweza kufariki maana malengo ya kuichuku atena Chadema haipo,
Nikirudi TLS wajirekebishe katika kitalu chao na wasijione kama wao ndio wenye Dola,Serikali haipendezi ,wao hawana tofauti na supermarket /gurupu la watu liliopo wanaishi pamoja kushauriana katika maisha yao na kujinufaisha na mazingira ya kimaisha yanayowanguluka ndio hawa TLS ,mjuwe
mlipowambia wamelamba asali basi mjue ni katika mazingira yakimaisha. Hawapo kwa ajili ya Taifa hili la Tanzania kama mlivyo nyinyi na CCM ndio na wao wapo kivyengine ,Lisu hakuwahi kuwemo humo wakapinduana katika kurina asali.