CCM nao watabaki na jina lao?Au watairudisha TANU na Zanzibar wawe na ASP yao?Sasa Tanganyika ni koloni la Zanzibar ili Ipate Uhuru lazima Mkoloni Zanzibar ajitenge Muungano Ufariki . Pia Hili jina Tanzania ni jina Mali ya Tanganyika kwali Nyerere Ndie alikwenda nalo kwenye kuasisi Muungano,hivyo muungano Ukifariki Tanganyika inaweza kuitwa Tanzania tu ili pale UN wasihangaike kubadili jina . Wale wakoloni watabaki na jina Zanzibar sisi Bara pataitwa Tanzania a.k.a Tanganyika hilo jina Tanzania ni Mali halali ya Tanganyika .
KWA WALE WAZALENDO WA TANGANYIKA HURU TUNAKUSANYA MAONI KUJUA NI WANGAPI WANAHITAJI NA WANGAPI HAWAHITAJI TANGANYIKA HURU.
ANDIKA NENO
a)NDIYO~TANGANYIKA HURU IRUDI.
b)HAPANA~TANGANYIKA HURU ISIRUDI.