Hiyo ndiyo bendera ya Tanganyika,vijana tupambane hadi hatua ya mwisho tanganyika irudi ccm tumewajua na ujanja wao kutaka kuiua tanganyika,TUSIMAME KIDETE TANGANYIKA IRUDI,NATOA RAI KWA SERIKALI ENDAPO SERIKALI TATU HAITA KUWEPO KATIKA KATIBA TUTAANDAMANA NA WATOTO WOTE HADI KIELEWEKE.