masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,172
Sasa naelewa kwa nini Field Marshall Okello na Mzee Abeid Karume aliwachinja majahili hawa.Kwa nini hamtuachii Tanganyika yetu tupumue?
Chokochoko hii ni ya kulilia kibano.
Sasa naelewa kwa nini Field Marshall Okello na Mzee Abeid Karume aliwachinja majahili hawa.Kwa nini hamtuachii Tanganyika yetu tupumue?
Faida za elimu ya mafungu hizo. Nadhani shule yako wewe ndiyo ndogo, na unatakiwa urudi shule thabiti; umekusanya habari vipande vipande na unadhani kuwa ndiyo historia yenyewe. Nitarudia tena kwa kusisistiza kuwa nchi inayojulikana kama Tanganyika haikuwapo mpaka baada ya vita ya kwanza ya dunia ambapo ile nchi iliyokuwa ikiitwa Deutsch Ost-Afrika ilipogawanywa baina ya Uingereza na Ubelgiji. Vipande vilivyochukuliwa na ubeligiji vikaitwa Rwanda na Burundi, halafu lile pande lilichokuliwa na Uingereza likaitwa Tanganyika. Wakati huo Usultani wa Zanzibar ulishagawiwa kwa Uingereza kwa hiyo haukuwa sehemu ya Deutsch Ost-Afrika tena. Uingereza waliamuia kuliita pande hilo kuwa Tanganyika kwa sababu mbili kubwa; nitakuachia kazi hiyo urudi shule kutafuta sababu hizo.
Suala la mipaka sio suala nyeti ipo kwenye document na kila nchi inajua mipaka yake, tanganyika,zanzibar, rwanda,kenya, burundi wote wanajua mipaka yao. hili suala la kuvunja muungano kwa tanganyika linaanza kuwa zito kwa hapo, hata mh: lissu aliisema zanzibar na mipaka yake ya eneo la bahari akimaanisha na kilomita kumi pia ni kwamba tanganyika haina bahari, pia ndio maana hata ramani ya tanganyika mji mkuu uko dodoma. hili la mipaka ndio suala la mwanzo waznz tutakalolichukua punde tu ukivunjika.
swadakta mkuu. wazenji weusi wote ni watu wa tabora. walichukuliwa na tiptip hadi bgmy then sagulasagula ikafanyika pale wengine wakaishia unguja.
Naona mwisho mbaya hapa , wazenji wanayatafuta makucha ya watanganyika kwa lazima ,
msihofu soon enough tutawaonyesha kwamba sisi hatubwabwaji mbele yenu ila tunatenda
Kama Tanganyika ikirudi tutarudisha mipaka ya 1886 kati ya Tanganyika na Zanzibar - Tanga,. Pangani, Bagamoyo, Dar es Salaam, Kilwa, Lindi, Mtwara na Mafia zinarudi Zanzibar na hamna ubavu wa kutuzuia, aidha madeni ya iliokuwa Tanzania yatebebwa na Tanganyika maana ndio mliokopa, kwa hiyo Toto Tundu weka akili yako sawa sawa bungeni acha bwabwaja. haya ni maeneo yetu hata Nyerere alikuwa akijua kama hajawaambia bahati mbaya.
Tunaandaa madocument kupeleka UN likilia bwaaa tu tutakutana UN chini cha kamati ya mipaka ya kimataifa.
Suala la mipaka sio suala nyeti ipo kwenye document na kila nchi inajua mipaka yake, tanganyika,zanzibar, rwanda,kenya, burundi wote wanajua mipaka yao. hili suala la kuvunja muungano kwa tanganyika linaanza kuwa zito kwa hapo, hata mh: lissu aliisema zanzibar na mipaka yake ya eneo la bahari akimaanisha na kilomita kumi pia ni kwamba tanganyika haina bahari, pia ndio maana hata ramani ya tanganyika mji mkuu uko dodoma. hili la mipaka ndio suala la mwanzo waznz tutakalolichukua punde tu ukivunjika.