Askari Kanzu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 4,598
- 1,233
duhu, tukumbuke tulikotoka. si miaka mingi iliyopita. hii ilikuwa Tanganyika 1915 chini ya himaya ya mjerumani. reli na barabara zilijengwa kwa kasi ya ajabu. wabongo tulikuwa weusi mpaka tunang'aa. sio siku hizi uvivu, udaku na mikorogo vimetawala!