Tanga Yavunja Rekodi za TACAIDS!

Tanga Yavunja Rekodi za TACAIDS!

Mambo yepi mkuu??? Be specific ili watu wenye uelewa na mkoa wa Tanga watoe maoni yao!!!!

Huwezi kusema wanawake wanawastani wa kufanya mapenzi mara 5 kwa wiki halafu ukasema asilimia 75 ya wanaume wa tanga wanawanawake wawili...

Kimantiki hata kimahesabu haingii akilini..
 
Huwezi kusema wanawake wanawastani wa kufanya mapenzi mara 5 kwa wiki halafu ukasema asilimia 75 ya wanaume wa tanga wanawanawake wawili...

Kimantiki hata kimahesabu haingii akilini..

Fuatilia hotuba aliyotoa Dr.Fatma Mrisho mkurugenzi wa TACAIDS last week akiwa Tanga!!!!
 
Fuatilia hotuba aliyotoa Dr.Fatma Mrisho mkurugenzi wa TACAIDS last week akiwa Tanga!!!!

Mimi nasema hizo takwimu si sahihi kimantiki hata kimahesabu..sasa kama ni Dr F. Mrisho katoa au yeyote yule..
 
Ukimwi tanga upo kidogo sana maana kitu cha tigo no dk 0 mzee uko mail moja yaan dk5 unazakutosha no mchubuko hapo.sasa uko kwingi kagaoli kamoja ni lisaa sasa hapo ni shida.tanga raha jaman
 
Back
Top Bottom