Tuko pamoja kaka Poleni sana tunawaombeaMzigo umeongezeka waungwana.... Tuombeeni.
Poleni sana wakazi wa Tanga. Mkuu una uenyeji pale Mafuriko kama unaelekea Kihongwe?Jamani watu wa Tanga poleni sana. Hapo ndio nyumbani nilipozaliwa na kukulia.
Mapango ya Amboni (Kiomoni) hayawezi kuathirika kwa sababu mto Mkulumuzi utabeba maji yote kwenda baharini.
NGUZO wewe sio mtu wa Kiomoni kweli? Nina swahiba wangu pale.
Neema imegauka Neghma !!?Kama inapungua flan hv eeh Mungu baba tunajua mvua ni neema lakini kwa hiki tunachokishuhudia tunaomba uipunguze nguvu..
Mvua hii na Amini itakuwa ni Adhabu kutoka kwa Muumba wenu watu wa Tanga mmezidi kuogelea ktk Madhambi maana ukipita ktk viunga vya Tanga jioni na usiku huoni zaidi ya Maovu Viunga vya Raska Zone ndo usiseme watu wanafanya matendo ya kifirauni kwaiyo hiyo mvua isiyo katika Itakuwa kana kwamba mnachuma kile ambacho kimepandwa na mikono yenu na adhabu ya Muumba wetu huwezi izuia kwa mikono bali yatakikana watu wa Tanga mbadilike ndugu zetu muache uovu uliyipita mipaka kwa mfno Uko Tanga kuna kikundi cha Ngoma kiitwacho Baikoko hawa watu wanapendwa sana Tanga karibu Harusi nyingi wanapenda kuwaalika watu hawa nadhani watu wa Tanga mnajua vitu wanavyovifanya ktk Maharusi yenu alafu nyinyi mnawashangilia na kuwatunza watu hawa wanaocheza Uc** wa Mnyama Kweli!!! Mambo haya ndo mnataka Mola wenu asiwaadhibu hapa Duniani?
Kwahio Pangani haiendeki?View attachment 506609 daraja la Neema limejatika, linaunganisha Tanga mjini na njia ya Pangani.
Ndugu zangu wamejaa hapo Mafuriko, Kihongwe, Amboni, Mabokweni, Kisosora/Chunvini, na karibuni mitaa yote ya Tanga.Poleni sana wakazi wa Tanga. Mkuu una uenyeji pale Mafuriko kama unaelekea Kihongwe?
Poleni sana Wana Tanga!
Mungu atuepushe na maafa