Tanga Haieleweki kisiasa

Tanga Haieleweki kisiasa

hhsmakwato

Member
Joined
Mar 19, 2015
Posts
97
Reaction score
51
Kwa wale wakaazi wa Tanga kunani hebu watujuze juu ya mustakabali wa siasa. Kwamtazamo wangu mdogo pamoja na kuuliza masuali watu wawili watatu nimegunduwa bado wakaazi wa Tanga wengi wanashabikia sisiemu licha ya kuwa serikali imeua kila kitu kuanzia bandari , reli , mashamba, viwanda , nk. ....
Wwkaazi wa Tanga tupeni uhakika wa habari hii
 
Wanaipenda CCM kwa kuwa vijana wao wengi ni wauza sembe na wengine wasafirishaji na CCM inawalinda na maisha yanaendelea.
 
Makahaba wengi hutokea Tanga na huwapa raha wapachikwa
Si kweli! Sema wana uelewa mdogo sababu ya elimu duni kwa walio wengi maana wengi ni elimu ahera, can not reason deep on the other side of the coin. Lakini wanabadilika taratibu ingawa bado imani ndio nguzo ya maamuzi yao
 
Hatuna muda na siasa. Si tuna tafuta hela maisha yetu ya ende. Hatuamini kama wanasiasa watatuletea maisha bora.
 
Hatuna muda na siasa. Si tuna tafuta hela maisha yetu ya ende. Hatuamini kama wanasiasa watatuletea maisha bora.
Sio kweli, hakuna fedha inayotafutwa na indigenous Tanga, mila ya hapa ni mlo mmoja kutwa na uono bonge, ouno damu, bada, na vitu kama hivyo! We sema hamtaki shida maana maisha ni ahera na si dunia!
 
tanga ya sasa sio kama yazamani watu wamebadilika wanataka mabadiliko kila kona ni ukawa
 
Tatizo la tanga lipo katika mikoa yote ya pwani. Tusiliangalie kwa upeo finyu.
 
Wapo watu wako tayari kwa mabadiliko, lakini zipo sababu kadha wa kadha kwa nini upinzani haujakomaa vya kutosha Tanga.

Kwanza, wananchi wengi hasa vijijini, hawajui kusoma na kuandika. Ccm wanatumia mwanya huo kushinda kupitia wasimamizi au mawakala wasio waaminifu.

Pili, wazee wengi wa Ccm huwatisha vijana kwa ushirikina kutoviunga mkono vyama vya upinzani, kutokana na uelewa mdogo na elimu ndogo vijana huamini.

Tatu, vyama vya upinzani havijawekeza vya kutosha mkoani Tanga ikiwa ni pamoja na kupata watu wenye kuheshimika katika jamii kuongoza vyama vya upinzani. Hapa sababu za kiuchumi pia huchangia, maana vyama vya upinzani vinahitaji kujitolea kwa hali na mali. Nimekaa Tanga zaidi ya mwaka sijaona mkutano wowote wa vyama vya upinzani katika kata ninayoishi ingawa kuna viongozi wa chadema.

Pamoja na umaskini mkubwa wa wenyeji, bado wanaamini kwamba umaskini wao ni kudra za mwenyezi Mungu, na kwamba mabadiliko kisiasa siyo suluhisho la umaskini wao. Yaani umaskini umefanywa kama dini.

Zipo sehemu ambazo wageni wengi wamehamia kama Muheza, naona kuna matumaini kiasi.

Nashauri kipindi hiki cha uchaguzi, ukawa wabebe jukumu la kugharamia kampeni hasa katika majimbo ya handeni, kilindi, mkinga na korogwe pamoja na kuweka mawakala waaminifu, zipo kura za vijana zitapatikana ambazo zitaongeza kibaba, lakini pia itakuwa mwanzo wa kuutambulisha upinzani hadi ngazi ya vijiji.

Huo ndiyo uzoefu wangu angalau kwa uchache na mkoa wa Tanga.
 
Wapo watu wako tayari kwa mabadiliko, lakini zipo sababu kadha wa kadha kwa nini upinzani haujakomaa vya kutosha Tanga.



Kwanza, wananchi wengi hasa vijijini, hawajui kusoma na kuandika. Ccm wanatumia mwanya huo kushinda kupitia wasimamizi au mawakala wasio waaminifu.



Pili, wazee wengi wa Ccm huwatisha vijana kwa ushirikina kutoviunga mkono vyama vya upinzani, kutokana na uelewa mdogo na elimu ndogo vijana huamini.



Tatu, vyama vya upinzani havijawekeza vya kutosha mkoani Tanga ikiwa ni pamoja na kupata watu wenye kuheshimika katika jamii kuongoza vyama vya upinzani. Hapa sababu za kiuchumi pia huchangia, maana vyama vya upinzani vinahitaji kujitolea kwa hali na mali. Nimekaa Tanga zaidi ya mwaka sijaona mkutano wowote wa vyama vya upinzani katika kata ninayoishi ingawa kuna viongozi wa chadema.



Pamoja na umaskini mkubwa wa wenyeji, bado wanaamini kwamba umaskini wao ni kudra za mwenyezi Mungu, na kwamba mabadiliko kisiasa siyo suluhisho la umaskini wao. Yaani umaskini umefanywa kama dini.



Zipo sehemu ambazo wageni wengi wamehamia kama Muheza, naona kuna matumaini kiasi.



Nashauri kipindi hiki cha uchaguzi, ukawa wabebe jukumu la kugharamia kampeni hasa katika majimbo ya handeni, kilindi, mkinga na korogwe pamoja na kuweka mawakala waaminifu, zipo kura za vijana zitapatikana ambazo zitaongeza kibaba, lakini pia itakuwa mwanzo wa kuutambulisha upinzani hadi ngazi ya vijiji.



Huo ndiyo uzoefu wangu angalau kwa uchache na mkoa wa Tanga.


Umetisha na kwa uzoefu huo nadhani wahusika wataliangalia hilo. Shukran
 
Tanga ni kubwa lakini kuna majimbo matatu upinzani una nguvu tanga mjini,pangani na muheza ni sehemu ambazo cuf wananguvu sana na wana madiwani wengi wakaribiana na ccm. Tanga amabyo ni ccm ni handeni na lushoto kwa kina makamba
 
Makahaba wengi hutokea Tanga na huwapa raha wapachikwa

A cha kututukana ----- wee Dada zenu ndo wanatoka makwenu kuja kwetu huku kujiuza ili soko lao lipande wakijifanya watoto wa kitanga
 
Coastal area hawana mda huo wao wapate mle mmoja basi hawataki kujishughulisha . Wameridhika na maisha ya kigumu,pia na elimu ni tatizo
 
Back
Top Bottom